Mwili wa Daktari Dismas Chami aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Ulyankulu waokotwa maeneo ya Malolo, Tabora

Mwili wa Daktari Dismas Chami aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Ulyankulu waokotwa maeneo ya Malolo, Tabora

General Mahele alikuwa Waziri wa Ulinzi na wala hakuuliwa na Mobutu mwenyewe bali mtoto wa Mobutu ambaye alikuwa anaona nchi ni shamba la familia yao. Of course ni yaleyale pipa na mfuniko.

Alikuwa Kanali jeshi likashindwa ulinzi akakasirika akatafuta wanaofanya mazungumzo na waasi wa Kabila, maana jeshi lilijaza vilaza kupigana hawawezi. Mobutu alikuwa na machawa tu. Siku mbili baadae baba yake akakimbia nchi.

Ikifika hatua ya mamlaka kuwa desperate, hata akina Mafwele utasikia wameuwawa. Kawaida kabisa hasa former Socialist countries
Na ndiye pia alikuwa Mkuu wa Majeshi kwa wakati huo, hii ni kutokana na utaratibu mbaya uliokuwepo kwa Majeshi ya Rais Mobutu. Majeshi ya Zaire wakati huo yalikuwa na mfumo mbaya sana wa Kiutawala, kwa jinsi lilivyokuwa ni kama vile kulikuwa na Wakuu wa Majeshi wawili, Mkuu wa Vikosi vya Kumlinda Rais Mobutu alikuwa kama vile CDF wa kwanza, kwa sababu vikosi vyake vilikuwa vinajitegemea vyenyewe na wala vilikuwa havipokei amri kutoka kwa mtu mwingine yoyote yule isipokuwa kutoka kwa Mkuu wao wa Vikosi vya Ulinzi wa Rais. Aidha, Kiongozi wa Vikosi vingine vya Majeshi ya Ulinzi wa nchi yote alikuwa Hana mamlaka juu ya Vikosi vya Ulinzi wa Rais. Waziri wa Ulinzi ndiye alikuwa kama incharge wa Majeshi yote kabisa.
 
Mwili wa Dr. Dismas Chami aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Ulyankulu, Tabora umeokotwa maeneo ya Malolo, Tabora asubuhi ya leo. Dr.Chami aliondoka nyumbani (Kaliua) Jumatano ya September 4 na kumuaga mkewe kuwa anakwenda mjini Tabora kikazi na angerejea kesho yake. Hata hivyo hakurejea na simu zake hazikupatikana

Familia ilimtafuta kwa wiki nzima bila kujua alipo, lakini ilipofika Jumatano ya September 11 simu zake zilipatikana. Hata hivyo alipopigiwa hakupokea. Baadae alituma sms kwa mke wake iliyosomeka "Nisamehe sana, baada ya dakika chache sitakuwa nanyi duniani. Simamia kila kitu nilichokiacha. Pesa zote zipo CRDB bank, simamia watoto wasome. Kwaheri"

Baada ya kutuma sms hiyo, simu yake ilizimwa na hakupatikana tena. Polisi kwa kushirikiana na familia waliendelea kumtafuta bila mafanikio. Hatimaye leo mwili wake umeokotwa maeneo ya Malolo, ukiwa umechomwa sindano. Pembeni ya mwili huo kuna madawa mbalimbali ya hospitali ambayo inadaiwa yalitumika kujidunga/kudungwa.

Bado haieleweki kama amejiua mwenyewe kwa kujidunga madawa au ameuawa na watu waliomdunga madawa hayo. Haijafahamika pia kama sms aliyotuma kwa mkewe alituma kwa utashi wake au alikuwa chini ya shinikizo. Polisi wamesema wanachunguza chanzo cha kifo chake kujua kama kimetokana na migogoro ya kifamilia, Msongo wa mawazo, madeni, ugomvi binafsi au sababu nyinginezo. Rest easy Dr. Chami.!



Credit: Malisa GJ, X Page
Ni tukio la kusikitisha sana, na mbaya zaidi katika nchi yetu kukatisha uhai kunazidi kufanywa suluhisho na siyo hatua flani tu ya kimaisha.

Kama ukitaka kulichunguza tukio hili ama kulitafakari vizuri, ondoa hizo issues za makopo ya dawa sijui na sindano zilizokutwa na marehemu.

Pia, zisahau na zile SMS alizotuma kwa mkewe, halafu ndiyo uanze kutafakari, ndipo nadhani utaweza kupata picha halisi ya tukio hili.

Hizi SMS, sindano na makopo ya dawa nadhani ni kama uchafu uliowekwa kwa makusudi ili tusipate njia nzuri ya kulitafakari tukio hili kwa usahihi.

Ova
 
Ni tukio la kusikitisha sana, na mbaya zaidi katika nchi yetu kukatisha uhai kunazidi kufanywa suluhisho na siyo hatua flani tu ya kimaisha.

Kama ukitaka kulichunguza tukio hili ama kulitafakari vizuri, ondoa hizo issues za makopo ya dawa sijui na sindano zilizokutwa na marehemu.

Pia, zisahau na zile SMS alizotuma kwa mkewe, halafu ndiyo uanze kutafakari, ndipo nadhani utaweza kupata picha halisi ya tukio hili.

Hizi SMS, sindano na makopo ya dawa nadhani ni kama uchafu uliowekwa kwa makusudi ili tusipate njia nzuri ya kulitafakari tukio hili kwa usahihi.

Ova
Planned and Targeted Crime.
 
Mwili wa Dr. Dismas Chami aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Ulyankulu, Tabora umeokotwa maeneo ya Malolo, Tabora asubuhi ya leo. Dr.Chami aliondoka nyumbani (Kaliua) Jumatano ya September 4 na kumuaga mkewe kuwa anakwenda mjini Tabora kikazi na angerejea kesho yake. Hata hivyo hakurejea na simu zake hazikupatikana

Familia ilimtafuta kwa wiki nzima bila kujua alipo, lakini ilipofika Jumatano ya September 11 simu zake zilipatikana. Hata hivyo alipopigiwa hakupokea. Baadae alituma sms kwa mke wake iliyosomeka "Nisamehe sana, baada ya dakika chache sitakuwa nanyi duniani. Simamia kila kitu nilichokiacha. Pesa zote zipo CRDB bank, simamia watoto wasome. Kwaheri"

Baada ya kutuma sms hiyo, simu yake ilizimwa na hakupatikana tena. Polisi kwa kushirikiana na familia waliendelea kumtafuta bila mafanikio. Hatimaye leo mwili wake umeokotwa maeneo ya Malolo, ukiwa umechomwa sindano. Pembeni ya mwili huo kuna madawa mbalimbali ya hospitali ambayo inadaiwa yalitumika kujidunga/kudungwa.

Bado haieleweki kama amejiua mwenyewe kwa kujidunga madawa au ameuawa na watu waliomdunga madawa hayo. Haijafahamika pia kama sms aliyotuma kwa mkewe alituma kwa utashi wake au alikuwa chini ya shinikizo. Polisi wamesema wanachunguza chanzo cha kifo chake kujua kama kimetokana na migogoro ya kifamilia, Msongo wa mawazo, madeni, ugomvi binafsi au sababu nyinginezo. Rest easy Dr. Chami.!



Credit: Malisa GJ, X Page
Huyo kwa kazi yake na muonekano kibongobongo alishajipata sio rahisi kujiua wachunguze vizuri.
 
Huenda hizo sms zimeandikwa na watu wasiojulikana kuhadaa umma baada ya kelele za kupinga watu kupotea kuongezeka..

Uondoke nyumbani kwa lengo la kujiua, kisha uzime simu, halafu uje uiwashe baada ya siku 7 then utume sms kwa mkeo ndio ujiue?!!!!!
Aisee
 
Exactly.

Sms fake ya kutengenezwa yenye nia ovu ya kutaka kuwaghiribu watu ili wasijue kiini halisi Cha Mauaji hayo.
Just a spinning Propaganda.

Hali mbaya kabisa Kama Hii inanikumbusha wakati ule wa nyakati za mwisho mwisho kabisa kabla ya kuanguka kwa Utawala dhalimu wa Dikteta Mobutu Sesseseko aliyekuwa Rais wa zamani wa Zaire (Sasa Congo DR), Watu wengi sana walikuwa wakitekwa na kuuawa katika Mazingira ya kutatanisha Sana kama hivi inavyotokea hivi sasa hapa Tanzania. Maiti za Watu wakosoaji wa Utawala wake zilitakapaa mitaani, kila siku Wananchi walikuwa wanaokota miili ya Watu mitaani.
Aidha, kila siku (hususani nyakati za usiku) ndege na helikopta za Jeshi zilikuwa zinatua nyumbani kwa Rais Mobutu kijijini kwake Gbadolite zikiwaleta 'Mateka' waliokusanywa kutoka katika miji na mikoa mbalimbali iliyopo kwenye nchi hiyo ya Zaire ili wàweze kuteswa mbele ya Rais Mobutu mwenyewe akishuhudia kwa macho yake na mwishowe mateka hao waliuliwa kikatili sana. But all in all, mwisho wa dhahama yote hiyo, Dikteta Mobutu aliishia kumteka hata Mkuu wake wa Majeshi (CDF) General Mahele na kumuua kikatili kama nguruwe pori, na hapo ndipo Utawala wake wa kidikteta ulipofika mwisho wake.

Watanzania tuzidishe sala na maombi kwani kunakaribia kukucha, Wakimaliza kututeka sisi Wananchi basi watageukiana wao kwa wao, kama ilivyofanyika nchini Zaire kwa Rais Mobutu.
U
Exactly.

Sms fake ya kutengenezwa yenye nia ovu ya kutaka kuwaghiribu watu ili wasijue kiini halisi Cha Mauaji hayo.
Just a spinning Propaganda.

Hali mbaya kabisa Kama Hii inanikumbusha wakati ule wa nyakati za mwisho mwisho kabisa kabla ya kuanguka kwa Utawala dhalimu wa Dikteta Mobutu Sesseseko aliyekuwa Rais wa zamani wa Zaire (Sasa Congo DR), Watu wengi sana walikuwa wakitekwa na kuuawa katika Mazingira ya kutatanisha Sana kama hivi inavyotokea hivi sasa hapa Tanzania. Maiti za Watu wakosoaji wa Utawala wake zilitakapaa mitaani, kila siku Wananchi walikuwa wanaokota miili ya Watu mitaani.
Aidha, kila siku (hususani nyakati za usiku) ndege na helikopta za Jeshi zilikuwa zinatua nyumbani kwa Rais Mobutu kijijini kwake Gbadolite zikiwaleta 'Mateka' waliokusanywa kutoka katika miji na mikoa mbalimbali iliyopo kwenye nchi hiyo ya Zaire ili wàweze kuteswa mbele ya Rais Mobutu mwenyewe akishuhudia kwa macho yake na mwishowe mateka hao waliuliwa kikatili sana. But all in all, mwisho wa dhahama yote hiyo, Dikteta Mobutu aliishia kumteka hata Mkuu wake wa Majeshi (CDF) General Mahele na kumuua kikatili kama nguruwe pori, na hapo ndipo Utawala wake wa kidikteta ulipofika mwisho wake.

Watanzania tuzidishe sala na maombi kwani kunakaribia kukucha, Wakimaliza kututeka sisi Wananchi basi watageukiana wao kwa wao, kama ilivyofanyika nchini Zaire kwa Rais Mobutu.
Kile kijiji cha damu zisizo na hatia,damu ilivyo ya hatari hatujui uzao wake ulipo!!.Hakuna aliyeenda kukaa wala kupaendeleza.Damu huwa inaongea na kulia na kupigana na kudai kisasi!!.We subiri muda si mrefu watu watajua adhabu ya Damu isiyo na hatia ni ya Mungu.Ila tuendelee kuomba kama ulivyoshauri.
 
U

Kile kijiji cha damu zisizo na hatia,damu ilivyo ya hatari hatujui uzao wake ulipo!!.Hakuna aliyeenda kukaa wala kupaendeleza.Damu huwa inaongea na kulia na kupigana na kudai kisasi!!.We subiri muda si mrefu watu watajua adhabu ya Damu isiyo na hatia ni ya Mungu.Ila tuendelee kuomba kama ulivyoshauri.
Ni kweli kabisa, hadi leo hii Watu wa Zaire (Congo DR) hawataki kwenda kuishi kwenye kijiji Cha Gbadolite, nyumbani kulikokuwa na Makazi binafsi ya Rais wa zamani wa nchi hiyo dikteta Mobutu Sese Seko, majengo na uwanja wa ndege mkubwa aliojenga kwenye Makazi yake hayo vyote kabisa vimetelekezwa. Hata watoto wake yeye mwenyewe Mobutu pamoja na ndugu zake wengine pia hawataki kwenda kuishi kwenye makazi hayo. Eneo hilo limetelekezwa kabisa, kwanza watu wengi wa nchi hiyo wanalichukulia eneo hilo la Kijiji Cha Gbadolite Kama eneo lenye laana na mikosi kutokana na damu nyingi sana za Watu zilizomwagika hapo nyakati za Utawala wa Mauaji wa dikteta Mobutu.
 
HIVI XILE CHIPU ZA KINA MANJI ZINAONYESHA ULIPO ZINAUZWA WAPI NA SH NGAPI KWA HALI HII BORA UUZE NYUMBA UWEKE HIZO CHIPU KWA MWILI LOH
 
Mbona hizo sms ni kama Suicide note?!
NI kwamba nikikuteka ili nikuue, nitatuma sms kama hizo ili watu wadhani ulijiua. Ni Polisi wa Tanzania tu watakimbilia kusema kajiua kwa sababu wameona hizo sms kama ulivyofanya wewe hapa.

Jambo Polisi wanalotakiwa kufanya ni kumwita mtaalamu wa lugha na kulinganisha sms zake za siku zote na hizo. Kwa mfano, maneno lama pesa - je huwa anasema pesa au hela? Maneno kama kwaheri, huwa anasema kwa heri au kwaheri au kwaeli? Hapo ndipo wanaweza kugundua kama sms ni kanyaboya la wasijulikana au la. Polisi wanapokimbilia kusema ni suicide ni kiashiria kuwa wao wamehusika na kifo
 
Exactly.

Sms fake ya kutengenezwa yenye nia ovu ya kutaka kuwaghiribu watu ili wasijue kiini halisi Cha Mauaji hayo.
Just a spinning Propaganda.

Hali mbaya kabisa Kama Hii inanikumbusha wakati ule wa nyakati za mwisho mwisho kabisa kabla ya kuanguka kwa Utawala dhalimu wa Dikteta Mobutu Sesseseko aliyekuwa Rais wa zamani wa Zaire (Sasa Congo DR), Watu wengi sana walikuwa wakitekwa na kuuawa katika Mazingira ya kutatanisha Sana kama hivi inavyotokea hivi sasa hapa Tanzania. Maiti za Watu wakosoaji wa Utawala wake zilitakapaa mitaani, kila siku Wananchi walikuwa wanaokota miili ya Watu mitaani.
Aidha, kila siku (hususani nyakati za usiku) ndege na helikopta za Jeshi zilikuwa zinatua nyumbani kwa Rais Mobutu kijijini kwake Gbadolite zikiwaleta 'Mateka' waliokusanywa kutoka katika miji na mikoa mbalimbali iliyopo kwenye nchi hiyo ya Zaire ili wàweze kuteswa mbele ya Rais Mobutu mwenyewe akishuhudia kwa macho yake na mwishowe mateka hao waliuliwa kikatili sana. But all in all, mwisho wa dhahama yote hiyo, Dikteta Mobutu aliishia kumteka hata Mkuu wake wa Majeshi (CDF) General Mahele na kumuua kikatili kama nguruwe pori, na hapo ndipo Utawala wake wa kidikteta ulipofika mwisho wake.

Watanzania tuzidishe sala na maombi kwani kunakaribia kukucha, Wakimaliza kututeka sisi Wananchi basi watageukiana wao kwa wao, kama ilivyofanyika nchini Zaire kwa Rais Mobutu.
Umeeleza vizuri ila umemalizia vibaya kabisa..nchi haikombolewi kwa maombi! acheni kudanganyana watanzania
 
Umeeleza vizuri ila umemalizia vibaya kabisa..nchi haikombolewi kwa maombi! acheni kudanganyana watanzania
Wananchi wa Zaire katika kuikomboa nchi yao kutokana na utawala wa kidhalimu waliokuwa wakifanyiwa kutoka kwa Rais wa nchi hiyo dikteta Mobutu Sese Seko, harakati zao za ukombozi walianza na Mungu, waliendelea na Mungu na kisha walimaliza na Mungu, na hatimaye utawala wa Mobutu ulianguka vibaya sana na wananchi wakawa huru.
 
Hivi tumekumbwa na dude gani hili? Sasa hivi dunia nzima inajua sisi ni wa kutekana, kubaka na kulawiti na kuua. Zamani tulikuwa mfano kwa nchi za Afrika, na mtu hata ukisafiri kwenda nje ulikuwa proud kusema unatoka Tanzania, nchi ya kistaarabu. Nadhani kwa sasa ukienda nje (maana sijaenda muda), pengine utaulizwa, Eh! Tell me the situation in your country, I read on social media na hear on radio people disappear and are found dead the next day. Shame upon us! Tumeharibu sifa ya nchi yetu na sijui kwa sababu gani!
Ni kwa sababu ya siasa za majitaka
 
Back
Top Bottom