b boy suma
New Member
- Sep 16, 2024
- 4
- 2
Unajuw sas Iv tnapaswa Kuwa makini sana sote sote raia wa kitanzania kwa matokeo mbali mbali yakikatili yanayojitokeza nchini kwet kwa sasa ila tnaomba jesh la polisi Kuwa makini zaid na haya matukio yananyo jitokeza kwa kipindi hichi man inaskitusha sana