Itakua hakuishi na Baba yake tokea utotoni ndo maana watoto wa ndoa wa malecela wapo na positions kubwa kielimu kimaisha. Sasa akajikuta anakua chawa wa Makonda. Makonda hana cheo Lemutuz anashindwa hata kujipendekeza tena kwa kina Nape maana aliwaona mavi.
Mange ni shetaniHata mjomba wake lemutuz ile picha alopostig insta naiwaza bila majibu.
Lemutuz na Mwele damu moja sasa Mwele aliwezaje kuona hiyo picha ikiwa mtandaoni mange akimchafua ndugu yake wa damu? Kweli yapo mengi yanayomfanya Mange asije TZ.
Halafu alivyoishia kuwa chawa wa Bashite hapo ndo nilimwona bogus. Hivi sasa anaweza kumface Nape kweli ?Hao wa ndani ya ndoa wamebebwa na akili zao lemutuz nae angekua smart huwo utoto wa nje pia ungembeba kupitia baba yake ila kichwani ni bogus kukaa kote marekani alivyorudia alifikia kwa baba yake mtu Una zaidi ya miaka 50 unafikia kwa baba
Roho yako tu mkuu na vitu viujazavyo.Hata sisi huwa tunafiwa nawapendwa wamaana Ila hatujitangaaaazi!!
Isiwe kunawatu msibawao ndiokilamtu aguswe wakati mingine kawaida.... Mnataka mativiini kote tuufatilie mbona waislam wao chapu marehemu hupumzishwa!!! Tujifunze...
Ukaribu wake na Mange ni sababu mzee Kimambi alikuwa mpenzi wa Mwele na waliishi kiunyumba pale Upanga. Mwele ni mama wa kambo wa Mange.
Hapana, alimpenda kama mtoto ake, na upendo hautakabali, upendo huvumilia wala hauhesabu mabaya, as long as ni true love, na pia wako na bond na wamrkua as family for years so ni kawaida tu. Jiulize, mama yako anaweza kukuacha sababu tu umegombana na jirani? no unless shr dont love you and she is faking to love you.
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Hawana connection. Lemutuz mtoto wa nje ya ndoa. Na Lemutuz ni kilaza. Watoto wa John na Ezerina Malecela wote ni smart.
Ordinary minds discuss people, Big minds discuss issues and Serious minds discuss ideas!Utakuwa na jambo lako na Lemutuz. Ila kwenye ukilaza hayupo kabisa. Usiwe too judgmental mpaka ukasahau small details. Au akili kwako Ni kuwa dr.
Mimi ningeweza kusema Ni mtu asiyependa kuambiwa ukweli ila BOGUS no. Ana akili sana na anajua kucheza na watz wa Sasa kuliko unavyofikiria.
William mjinga hata kwenda kumzika dada yake hakwenda.Umenena vyema, na Hapo ndo changamoto inapoanzia. Mama bora angewezaje kuruhusu mwanaye atukane viongozi na kumdhalilisha kaka yake wa damu? Unahisi Upendo mkubwa wa Mange kwa Huyu marehemu usingemfanya haogope kutukana viongozi na kaka yake?
Nawaza kwa sauti?
Mtoto WA kambo. Sio WA mama WA wenzie.William mjinga hata kwenda kumzika dada yake hakwenda.
Mwili umefunikwa na bendera yenye hadhi sio unafunikwa na libendera la ccm lenye nuksiMwili wa marehemu Dr. Mwele Ntuli Malecela umewasili Dar es salaam mnamo saa sita usiku na ndege ya KLM.
Mwili umepokelewa na baba yake mzee Samwel Malecela pamoja na waombolezaji wengi waliogubikwa na huzuni, na waliosubiri uwanjani toka jioni.
Msafara uliekekea moja kwa moja nyumbani kwa mzee Samwel Malecela ambapo sala fupi zilifanyika.
Mzee Abdulrahman Kinana aliyekuwa Katibu Mkuu CCM na Mama Kate Kamba Mwenyekiti wa CCM DSM, walishiriki misa hiyo fupi ya kuupokea mwili nyumbani kwa mzee Malecela.
Let Mutuz Ana mke na watoto?Lemutuz ni bogus. Kwanza ni mtoto wa nje ya ndoa. Hata kwenye huu msiba hata usemaji wa familia si yeye. Yaani hata hajapewa kipaumbele maana ni bogus.
Ippy si marehemu kitamboLemutuz ni mtoto wa nje wa Malecela, hajawahi ishi kwnye hilo jumba wala kuwa part ya familia toka wakishi Oysterbay na Upanga hata huko Ubalozini , sidhani kama wako naye kikaka kivile, si umeona leo pale Lemutuz hakuwepo pale Familia ilipo simama mbele ya jeneza ,walikua wa toto tuu wa mama wa kina Seche,Ippy ,Mwendwa ana wale wengine . Pia Marehemu na Mange ni mu na mwanae mlezi, sio rahisi kwa marehemu kumtupa Mange sababu ana kashifu watu na ukimsikiliza mange amesema sana kwamba marehemu alikua an amshauri ila yeye akawa ana fanya hayo bila kibali cha Marehemu .
PhD ya jpm haikua inaeleweka waliohoji waliuawa,kwahiyo alikua na PhD kma ya hemed wa bongo movieAcha dharau za kitoto mkuu. Mange ni binadamu mwenye akili pengine kunizidi mimi na wewe.
Hayati JPM alikuwa na PHD, Hayati Mwele pia alikuwa na PHD na JPM alibania akidhani anamkomoa kumbe riziki kama ipo hata ufanye nini ipo tu.
Binti ya Lemutuz aitwae Noela katoka New York Amerika kuja kumzika shangazi yake. Le mutuz kashindwa kweli ?Mtoto WA kambo. Sio WA mama WA wenzie.
Ana watoto wapo New York na mama yao. Mkewe (Neema Ngwilulupi) walishaachana.Le mutuz akili zake anazijua mwenyewe.Let Mutuz Ana mke na watoto?
Jamani Judge Mwendwa alipatwa na nini mpaka yupo kwenye wheel chair?nimeona aliomba kustaafu kipindi cha jiwe,what happened to her?Ippy si marehemu kitambo
Mkuu punguza dharau, angekuwa na kama ya Hemed asingekuwa na maono ya kujenga bwawa la JNHPP wala asingeifikisha nchi hii uchumi wa kati wa chini.PhD ya jpm haikua inaeleweka waliohoji waliuawa,kwahiyo alikua na PhD kma ya hemed wa bongo movie