Mwili wa Dkt. Mwele Malecela wawasili Tanzania ukitokea Uswisi


Hao wa ndani ya ndoa wamebebwa na akili zao lemutuz nae angekua smart huwo utoto wa nje pia ungembeba kupitia baba yake ila kichwani ni bogus kukaa kote marekani alivyorudia alifikia kwa baba yake mtu Una zaidi ya miaka 50 unafikia kwa baba
 
Hata mjomba wake lemutuz ile picha alopostig insta naiwaza bila majibu.

Lemutuz na Mwele damu moja sasa Mwele aliwezaje kuona hiyo picha ikiwa mtandaoni mange akimchafua ndugu yake wa damu? Kweli yapo mengi yanayomfanya Mange asije TZ.
Mange ni shetani
 
Hao wa ndani ya ndoa wamebebwa na akili zao lemutuz nae angekua smart huwo utoto wa nje pia ungembeba kupitia baba yake ila kichwani ni bogus kukaa kote marekani alivyorudia alifikia kwa baba yake mtu Una zaidi ya miaka 50 unafikia kwa baba
Halafu alivyoishia kuwa chawa wa Bashite hapo ndo nilimwona bogus. Hivi sasa anaweza kumface Nape kweli ?
 
Hata sisi huwa tunafiwa nawapendwa wamaana Ila hatujitangaaaazi!!
Isiwe kunawatu msibawao ndiokilamtu aguswe wakati mingine kawaida.... Mnataka mativiini kote tuufatilie mbona waislam wao chapu marehemu hupumzishwa!!! Tujifunze...
Roho yako tu mkuu na vitu viujazavyo.
 
Ukaribu wake na Mange ni sababu mzee Kimambi alikuwa mpenzi wa Mwele na waliishi kiunyumba pale Upanga. Mwele ni mama wa kambo wa Mange.

Umenena vyema, na Hapo ndo changamoto inapoanzia. Mama bora angewezaje kuruhusu mwanaye atukane viongozi na kumdhalilisha kaka yake wa damu? Unahisi Upendo mkubwa wa Mange kwa Huyu marehemu usingemfanya haogope kutukana viongozi na kaka yake?

Nawaza kwa sauti?
 

Swali Sio mama yako ataacha kukupenda. Upendo Ni upendo. Je mama yako atakuruhusu utukane viongozi na kaka yake hadharani? Na na kama upendo una exist je Ni upendo wa upande mmoja tu? Lazima kujua kuwa neno dr haiwezi ondoa vilivyo katika tabia yako.
 
Hawana connection. Lemutuz mtoto wa nje ya ndoa. Na Lemutuz ni kilaza. Watoto wa John na Ezerina Malecela wote ni smart.

Utakuwa na jambo lako na Lemutuz. Ila kwenye ukilaza hayupo kabisa. Usiwe too judgmental mpaka ukasahau small details. Au akili kwako Ni kuwa dr.

Mimi ningeweza kusema Ni mtu asiyependa kuambiwa ukweli ila BOGUS no. Ana akili sana na anajua kucheza na watz wa Sasa kuliko unavyofikiria.
 
Ordinary minds discuss people, Big minds discuss issues and Serious minds discuss ideas!
 
William mjinga hata kwenda kumzika dada yake hakwenda.
 
Mwili umefunikwa na bendera yenye hadhi sio unafunikwa na libendera la ccm lenye nuksi
 
Ippy si marehemu kitambo
 
Acha dharau za kitoto mkuu. Mange ni binadamu mwenye akili pengine kunizidi mimi na wewe.

Hayati JPM alikuwa na PHD, Hayati Mwele pia alikuwa na PHD na JPM alibania akidhani anamkomoa kumbe riziki kama ipo hata ufanye nini ipo tu.
PhD ya jpm haikua inaeleweka waliohoji waliuawa,kwahiyo alikua na PhD kma ya hemed wa bongo movie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…