Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Acha woga wewe boya ,kabla ujazaliwa ulikuwa umekufa mbona ukuogopa .....pu.bafuuuPalilia njia yako tartibu mkuu.
Mdomo wako unaumba mwisho wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha woga wewe boya ,kabla ujazaliwa ulikuwa umekufa mbona ukuogopa .....pu.bafuuuPalilia njia yako tartibu mkuu.
Mdomo wako unaumba mwisho wako.
Huzuni kwako mpumbavu mkubwa wewe. Unalazimisha kila mtu awe na huzuni, huna akiliMpuuzi wewe huu ni uzi wa huzuni jaribu kuheshimu wafiwa kama una akili iliyokomaa.
Mwenye akili ni wewe unayemkashifu marehemu asiyeweza kujitetea.Huzuni kwako mpumbavu mkubwa wewe. Unalazimisha kila mtu awe na huzuni, huna akili
Mfate alipoMwenye akili ni wewe unayemkashifu marehemu asiyeweza kujitetea.
Following her graduating in Zoology at the University of Dar es Salaam,[1] she joined Tanzania's National Institute for Medical Research (NIMR) in 1987, where she worked at the Amani Center to conduct research on lymphatic filariasis. Following this, she continued her education at the London School of Hygiene & Tropical Medicine, where she completed her MSc (1990) and PhD (1995). She continued her research at NIMR thereafter, and became Director of Research Coordination and Promotion (DRCP) in 1998 before moving on to become the Director of the Lymphatic Filariasis program in 2000, which is now functional in 53 districts (population: 13 million people). In 2010 she was appointed NIMR's Director General,[2] and was the first woman to hold this position. In June 2015, she went on sabbatical to pursue her political aspirations.[3][4]Wewe ndo bogus unayesema alikuwa na PhD.
Alikuwa Dr wa binadamu.
Mange shetwaani kabisaIla mange ni shetani, Dr Mwele alikiwa small house ya mzee kimbambi, mange baada ya mambo kumwendea ndivyo sivyo akakimbilia kulelewa na Mwele.
Cha ajabu akagombana na kaka yake Mwele, le mutuz, mange akatuma rafiki yake mamluki akagegedwe na le mutuz ila ampige picha kuonesha kiba100 Cha le mutuz. Mange akaisambaza ile clip le mutuz akaishia kugugumia maana Hadi dada yake Mwele atakuwa aliiona.
Mange ni shetani.
Wewe ndo bogus unayesema alikuwa na PhD.
Alikuwa Dr wa binadamu.
Mmm mange na lemutuz walitifuana ila its like huyu mama alikuwa upande wa mange wakati kemutiz ni ndugu yake
Lemutuz ni bogus. Kwanza ni mtoto wa nje ya ndoa. Hata kwenye huu msiba hata usemaji wa familia si yeye. Yaani hata hajapewa kipaumbele maana ni bogus.
Hapo ndo sielewi kwaji ile pic ya kibamia hukuiona?
Ni kwa sababu ya mamaa yake wa kambo mweleMange ana undugu na familia ya Malecela?!
Sijaelewa vizuri unaimanisha JPM ndio amemuua huyu mama?Mange anavyompenda huyu mama, ona sasa hawezi kuja Tanzania hata kumzika mtu alompenda maisha yake yote.hiyo ni kwa sababu ya siasa alizozifanya huko nyuma bado zinamwandama.
Jpm ndo alisema alikuwa mbaya wake na sasa hivi JPM hayupo tena ila Mange alivyoulizwa kama atakuja mazishini, alisema haji anaogopa, najiuliza anaogopa nini? Na sifa anazozimimina awamu hii ya utawala bora? angekuja tu?
Nadhani jana mange niliumia sana kuliko siku zote.maana inaonekana kweli walipendana sana ila ndo hiyo aliishia kuona ndege ikipaa.
Ili uwe salama kaa mbali na siasa kufatilia fatilia hawa wanasiasa sio ishu.
Rip mwele.
Mmh hapana namaanisha mange ndo alikuwa akisema jpm ndo anasababisha asije bongoSijaelewa vizuri unaimanisha JPM ndio amemuua huyu mama?
Mmh hapana namaanisha mange ndo alikuwa akisema jpm ndo anasababisha asije bongo
Mmh acha ufala, kipi kimefanya uone alikua anaendeshwa na mange? Mwele ndio alikua anamkanya mange mambo mengi tu, hata thats why mengine yaliisha kimya kimya, yule alikua mama yake mlezi wacha upuuzi kuita bogus and yet she was a PhD holder anaetambulika na UN all over the word wakati wewe hapo hata mwenyekiti wako tu wa.mtaa hakufahamu, kati yako na yeye nani bogus? stupid as** Bit*ch[emoji36]Huyo mama alikua bogus, angekua na akili timamu asingekuwa anaendeshwa na mange
Hilo la jpm alikuwa akilisema zamani hata kabla hajafa, kuwa anaogopa kujaAlisema kesi zake hazijafutwa sasa unatakae aje ahangaike na kesi
Alitusaidia sana kusema natamani wajitokeze mia
Alivyokuwa ana roho mbaya huyo mzee unadhani angemuachaHilo la jpm alikuwa akilisema zamani hata kabla hajafa, kuwa anaogopa kuja