Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Ataanza huyo aliyetanguliaMtafika ahera mmechoka sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataanza huyo aliyetanguliaMtafika ahera mmechoka sana!
Sio kweli, mange anajipendekeza. Ulitaka mama Samia asemaje?Mbona Samia kipenzi wa Mange ?
Mweli alikua bogus, huwezi kuwa na akili ukaendeshwa na mange.
Una uhakika atapumzika kwa amani?Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie narehemu Mwele apumzike kwa Armani amina
Huyo mwele hakua smart. Ila wengine walikua smartHawana connection. Lemutuz mtoto wa nje ya ndoa. Na Lemutuz ni kilaza. Watoto wa John na Ezerina Malecela wote ni smart.
Hahahahajahahah nilitaka kuandika ivo umeniwahi....Mungu wetu soteKumbe kifo ni kwa wote?
HANA NAULI PERIOD ANAJITETEA TUMange anavyompenda huyu mama, ona sasa hawezi kuja Tanzania hata kumzika mtu alompenda maisha yake yote.hiyo ni kwa sababu ya siasa alizozifanya huko nyuma bado zinamwandama.
Jpm ndo alisema alikuwa mbaya wake na sasa hivi JPM hayupo tena ila Mange alivyoulizwa kama atakuja mazishini, alisema haji anaogopa, najiuliza anaogopa nini? Na sifa anazozimimina awamu hii ya utawala bora? angekuja tu?
Nadhani jana mange niliumia sana kuliko siku zote.maana inaonekana kweli walipendana sana ila ndo hiyo aliishia kuona ndege ikipaa.
Ili uwe salama kaa mbali na siasa kufatilia fatilia hawa wanasiasa sio ishu.
Rip mwele.
Ooh kumbe!Ukaribu wake na Mange ni sababu mzee Kimambi alikuwa mpenzi wa Mwele na waliishi kiunyumba pale Upanga. Mwele ni mama wa kambo wa Mange.
Ni vema wanafiki wote walioshangilia kutumbuliwa kwake kwenye lile sakata la Zika wakajitenga na msiba huo .
Lemutuz ni bogus. Kwanza ni mtoto wa nje ya ndoa. Hata kwenye huu msiba hata usemaji wa familia si yeye. Yaani hata hajapewa kipaumbele maana ni bogus.
Hahahahajahahah nilitaka kuandika ivo umeniwahi....Mungu wetu sote
ulitaka achaguliwe lemutz atangulieFamilia wangekuwa wanapewa uhuru wa kuchangua. Nadhani kwenye hii familia apendwe zaidi nani na Mungu asingekuwa huyo mama ( Faida) wa kimataifa. Pole Mzee Malecela na wanafamilia wengine. Hivi Le Mutuz yupo nchini?
Lemutuz ni mtoto wa nje wa Malecela, hajawahi ishi kwnye hilo jumba wala kuwa part ya familia toka wakishi Oysterbay na Upanga hata huko Ubalozini , sidhani kama wako naye kikaka kivile, si umeona leo pale Lemutuz hakuwepo pale Familia ilipo simama mbele ya jeneza ,walikua wa toto tuu wa mama wa kina Seche,Ippy ,Mwendwa ana wale wengine . Pia Marehemu na Mange ni mu na mwanae mlezi, sio rahisi kwa marehemu kumtupa Mange sababu ana kashifu watu na ukimsikiliza mange amesema sana kwamba marehemu alikua an amshauri ila yeye akawa ana fanya hayo bila kibali cha Marehemu .Mmm mange na lemutuz walitifuana ila its like huyu mama alikuwa upande wa mange wakati kemutiz ni ndugu yake
Dah ila kwa nini wamtenge lemutuz akili kubwa,ninejisikia vibaya sanaLemutuz ni mtoto wa nje wa Malecela, hajawahi ishi kwnye hilo jumba wala kuwa part ya familia toka wakishi Oysterbay na Upanga hata huko Ubalozini , sidhani kama wako naye kikaka kivile, si umeona leo pale Lemutuz hakuwepo pale Familia ilipo simama mbele ya jeneza ,walikua wa toto tuu wa mama wa kina Seche,Ippy ,Mwendwa ana wale wengine . Pia Marehemu na Mange ni mu na mwanae mlezi, sio rahisi kwa marehemu kumtupa Mange sababu ana kashifu watu na ukimsikiliza mange amesema sana kwamba marehemu alikua an amshauri ila yeye akawa ana fanya hayo bila kibali cha Marehemu .
Labda kuna ishu kwenye familia sababu huyu jamaa naye behavior yake ni sio ya kawaida au labda hawa ku accept mtoto wa njeDah ila kwa nini wamtenge lemutuz akili kubwa,ninejisikia vibaya sana
Sijapenda,wampe chake basi mapema ahaaaaaLabda kuna ishu kwenye familia sababu huyu jamaa naye behavior yake ni sio ya kawaida au labda hawa ku accept mtoto wa nje
Tatizo ni ile tabia yake.Sijapenda,wampe chake basi mapema ahaaaaa
Hakuna mkamilifu,kila familia ina mtoto.mmoja pasua kichwaTatizo ni ile tabia yake.
Hakuna kingine.