Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wakati mwingine kumbe hata nauli Hana ya kuja bongoMange anavyompenda huyu mama, ona sasa hawezi kuja tz hata kumzika mtu alompenda maisha yake yote.hiyo ni kwa sababu ya siasa alizozifanya huko nyuma bado zinamwandama.
Jpm ndo alisema alikuwa mbaya wake na sasa hivi jpm hayupo tena ila mange alivyoulizwa kama atakuja mazishini, alisema haji anaogopa, najiuliza anaogopa nini? Na sifa anazozimimina awamu hii ya utawala bora? angekuja tu?
Nadhani jana mange niliumia sana kuliko siku zote.maana inaonekana kweli walipendana sana ila ndo hiyo aliishia kuona ndege ikipaa.
Ili uwe salama kaa mbali na siasa kufatilia fatilia hawa wanasiasa sio ishu.
Rip mwele.
Huyu mtu kaacha Mzazi mzee ambaye angependa yeye ndio azikwe na mtoto wake. Hapo ongeza na ndugu zake wa damu. Kwanini unamuona Mange ni muhimu sana kwenye hili?! Naona hilo uliloshauri la kufuatilia watu hata wewe pia ni mdau, ila wewe unamfuatilia huyo Mange.Mange anavyompenda huyu mama, ona sasa hawezi kuja tz hata kumzika mtu alompenda maisha yake yote.hiyo ni kwa sababu ya siasa alizozifanya huko nyuma bado zinamwandama.
Jpm ndo alisema alikuwa mbaya wake na sasa hivi jpm hayupo tena ila mange alivyoulizwa kama atakuja mazishini, alisema haji anaogopa, najiuliza anaogopa nini? Na sifa anazozimimina awamu hii ya utawala bora? angekuja tu?
Nadhani jana mange niliumia sana kuliko siku zote.maana inaonekana kweli walipendana sana ila ndo hiyo aliishia kuona ndege ikipaa.
Ili uwe salama kaa mbali na siasa kufatilia fatilia hawa wanasiasa sio ishu.
Rip mwele.
Poleni kwa msiba mzito familia ya watanzania
Mange ni mpumbavu fulani.Mange anavyompenda huyu mama, ona sasa hawezi kuja tz hata kumzika mtu alompenda maisha yake yote.hiyo ni kwa sababu ya siasa alizozifanya huko nyuma bado zinamwandama.
Jpm ndo alisema alikuwa mbaya wake na sasa hivi jpm hayupo tena ila mange alivyoulizwa kama atakuja mazishini, alisema haji anaogopa, najiuliza anaogopa nini? Na sifa anazozimimina awamu hii ya utawala bora? angekuja tu?
Nadhani jana mange niliumia sana kuliko siku zote.maana inaonekana kweli walipendana sana ila ndo hiyo aliishia kuona ndege ikipaa.
Ili uwe salama kaa mbali na siasa kufatilia fatilia hawa wanasiasa sio ishu.
Rip mwele.
Huyo ni hasara ya taifa bora alivyo kufa ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95] RIH DOCTORView attachment 2123505View attachment 2123506
Mwili wa marehemu Dr Mwele Ntuli Malecela umewasili Dar es salaam mnamo saa sita usiku na ndege ya KLM.
Mwili umepokelewa na baba yake mzee Samwel Malecela pamoja na waombolezaji wengi waliogubikwa na huzuni, na waliosubiri uwanjani toka jioni.
Msafara uliekekea moja kwa moja nyumbani kwa mzee Samwel Malecela ambapo sala fupi zilifanyika.
Mzee Abdulrahman Kinana aliyekuwa Katibu Mkuu CCM na Mama Kate Kamba Mwenyekiti wa CCM DSM, walishiriki misa hiyo fupi ya kuupokea mwili nyumbani kwa mzee Malecela.
Nauli anayo.hawezi kosa nauli sema anacho kiogopa anakijua mwenyeweMkuu wakat mwingine kumbe hata nauli Hana ya kuja bongo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni fanilia ya watanzania na sio wanyarwanda yakupasa ueleweNi msiba wao Siyo msiba wa watanzania
Kila Mtu abebe msalaba wake!
Una undugu na Ummy Mwalimu, maana lazima mnakunywa togwa kwa furaha saa hivi.Ni msiba wao Siyo msiba wa watanzania
Kila Mtu abebe msalaba wake!
Pita kimya kimya tu msiba wa jirani.Inatosha sasa hii habari!
Acheni ndugu/jamaa wampumzishe mpendwa wao basi.
Too much info utadhani nimchongo utaowapa watu maisha!!!!
Mkuu ukikuta turubai kwa jirani hata marehemu hajui waliochangia ili waombolezaji wakae kwa amani.Ni msiba wao Siyo msiba wa watanzania
Kila Mtu abebe msalaba wake!
Una uhakika atapumzika?Apumzike kwa amani
Nani anaweza kuwa na mke mwenye urafiki na ukaribu na mange?Kifo ni siri kubwa.
Nani aliwaza huyu mama msomi kuondoka leo.
Ninawaza tu kimya kimya hivi huyu dada hakuwa na mume au watoto, hebu nisaidieni
Ana haki ya kufurahia, acha ujinga wewe. Si kila mtu anapaswa kuhuzunikaUna undugu na Ummy Mwalimu, maana lazima mnakunywa togwa kwa furaha saa hivi.
Mange ana undugu na familia ya Malecela?!Hata mjomba wake lemutuz ile picha alopostig insta naiwaza bila majibu.
Mkuu unamuongelea Umy yupi? Mbona hawakuwa maadui ….Una undugu na Ummy Mwalimu, maana lazima mnakunywa togwa kwa furaha saa hivi.