Mwili wa Dkt. Mwele Malecela wawasili Tanzania ukitokea Uswisi

Mwili wa Dkt. Mwele Malecela wawasili Tanzania ukitokea Uswisi

Nani anaweza kuwa na mke mwenye urafiki na ukaribu na mange?
Huyo mama pamoja na kuwa na PhD Ila alikua bogus
Ninawaza sana ukaribu wake na Mange.

Huku mange akiichana serikali na watu wake that educated woman aliwezaje kuwa naye, unless otherwise iwe ile ya ndege wa rangi moja huruka pamoja.

Na je hakuwa na mtoto ?
 
Ni vema wanafiki wote walioshangilia kutumbuliwa kwake kwenye lile sakata la Zika wakajitenga na msiba huo .
 
Mange anavyompenda huyu mama, ona sasa hawezi kuja tz hata kumzika mtu alompenda maisha yake yote.hiyo ni kwa sababu ya siasa alizozifanya huko nyuma bado zinamwandama.

Jpm ndo alisema alikuwa mbaya wake na sasa hivi jpm hayupo tena ila mange alivyoulizwa kama atakuja mazishini, alisema haji anaogopa, najiuliza anaogopa nini? Na sifa anazozimimina awamu hii ya utawala bora? angekuja tu?

Nadhani jana mange niliumia sana kuliko siku zote.maana inaonekana kweli walipendana sana ila ndo hiyo aliishia kuona ndege ikipaa.

Ili uwe salama kaa mbali na siasa kufatilia fatilia hawa wanasiasa sio ishu.
Rip mwele.
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete
 
Ninawaza sana ukaribu wake na Mange.

Huku mange akiichana serikali na watu wake that educated woman aliwezaje kuwa naye, unless otherwise iwe ile ya ndege wa rangi moja huruka pamoja.

Na je hakuwa na mtoto ?
Ukaribu wake na Mange ni sababu mzee Kimambi alikuwa mpenzi wa Mwele na waliishi kiunyumba pale Upanga. Mwele ni mama wa kambo wa Mange.
 
Mwisho wa hii habari ni baada ya mazishi, taratibu za kusafirisha mwili ndizo zilichelewesha marehemu kuzikwa, so untill then utaendelea kupewa habari tu.
Na aendelee kupumzika pale panapomstahili huko alikokwenda.
 
Mkuu wakat mwingine kumbe hata nauli Hana ya kuja bongo



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
mmh kwa nauli hapana, huyo mzee wake tu boyfriend anamiliki black card hawezi kosa USD 2000+ ni hela ya coffee tu hiyo kwake lazima angempa, pia mange mwenyewe sio wa kukosa nauli ya usd 2000+ unless humfahamu vizuri mange, especially personally.

NOTE: Ametravel up to Geneva which ni same fare tu na kuja huku.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Kifo ni siri kubwa.

Nani aliwaza huyu mama msomi kuondoka leo.

Ninawaza tu kimya kimya hivi huyu dada hakuwa na mume au watoto, hebu nisaidieni
Hakubahatika kuzaa ila aliadopt mtoto mmoja beautiful girl anaitwa Naomi, she is i the same age na yule mtoto wa mange i think yule bokhe.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Ninawaza sana ukaribu wake na Mange.

Huku mange akiichana serikali na watu wake that educated woman aliwezaje kuwa naye, unless otherwise iwe ile ya ndege wa rangi moja huruka pamoja.

Na je hakuwa na mtoto ?
Hapana, alimpenda kama mtoto ake, na upendo hautakabali, upendo huvumilia wala hauhesabu mabaya, as long as ni true love, na pia wako na bond na wamrkua as family for years so ni kawaida tu. Jiulize, mama yako anaweza kukuacha sababu tu umegombana na jirani? no unless shr dont love you and she is faking to love you.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Hapana, alimpenda kama mtoto ake, na upendo hautakabali, upendo huvumilia wala hauhesabu mabaya, as long as ni true love, na pia wako na bond na wamrkua as family for years so ni kawaida tu. Jiulize, mama yako anaweza kukuacha sababu tu umegombana na jirani? no unless shr dont love you and she is faking to love you.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Mmm mange na lemutuz walitifuana ila its like huyu mama alikuwa upande wa mange wakati kemutiz ni ndugu yake
 
Familia wangekuwa wanapewa uhuru wa kuchangua. Nadhani kwenye hii familia apendwe zaidi nani na Mungu asingekuwa huyo mama ( Faida) wa kimataifa. Pole Mzee Malecela na wanafamilia wengine. Hivi Le Mutuz yupo nchini?
Le Mutuz angeshalala yooo kitambo sana🤣
 
Back
Top Bottom