tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Yupo msibani angalia kwa ayo utamuona yuko amekaa pembeniAmeonyesha picha mbaya sana sana hata km hamuelewani angeekti tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo msibani angalia kwa ayo utamuona yuko amekaa pembeniAmeonyesha picha mbaya sana sana hata km hamuelewani angeekti tuu.
Mbona alikuepo msibani amekaa pembeni ya podium,nenda ayo tv utamuona...mnampa babu dhambi wkti yupo msibaniBinti ya Lemutuz aitwae Noela katoka New York Amerika kuja kumzika shangazi yake. Le mutuz kashindwa kweli ?
Basi km umemuona asante kwa taarifa.Mbona alikuepo msibani amekaa pembeni ya podium,nenda ayo tv utamuona...mnampa babu dhambi wkti yupo msibani
Poleni wafiwa,
Ila watz wakiwa hai kila mmoja anataka kwenda majuu, bahati mbaya au nzuri umri ukiishia huko kwanini lazima warudishwe wasizikwe huko huko?
Alikuwepo Dar Karmjee. Ila Mvumi kwenye kuhifadhi mwili kaburini hakuwepo. Binafsi nilikuwepo Mvumi mission.Mbona alikuepo msibani amekaa pembeni ya podium,nenda ayo tv utamuona...mnampa babu dhambi wkti yupo msibani
Samweli pia. Samweli ni mdogo ila ndo alipewa usemaji wa familia hapa Dar. Wakiume wamebaki wawili Lemutuz na Samweli. Wa kike wapo Sece,Mwendwa,Tully na Nyagwa.Hujanielewa nilimjibu mtu kua ippy ni marehemu kitambo sana,najua wakiume kabaki baharia le mutuz
Ila we Victoire inawezekana nakujua Sema Tu hizi ID.😂😂😂Alikuwepo Dar Karmjee. Ila Mvumi kwenye kuhifadhi mwili kaburini hakuwepo. Binafsi nilikuwepo Mvumi mission.
Sio mkewe tena.....andika aliyewahi kuwa mkewe.Ana watoto wapo New York na mama yao. Mkewe (Neema Ngwilulupi) walishaachana.Le mutuz akili zake anazijua mwenyewe.
Yes humu wengi tunafahamiana in real life. Sema hizi ID zibaki hivi hivi. Humu unaweza hata bishana na mzazi wako kabisa. Thanks to fake ID's.Ila we Victoire inawezekana nakujua Sema Tu hizi ID.😂😂😂
lemutuz naye si ni sickBinti ya Lemutuz aitwae Noela katoka New York Amerika kuja kumzika shangazi yake. Le mutuz kashindwa kweli ?
Mzee bado ana hazina ya watoto kumbeSamweli pia. Samweli ni mdogo ila ndo alipewa usemaji wa familia hapa Dar. Wakiume wamebaki wawili Lemutuz na Samweli. Wa kike wapo Sece,Mwendwa,Tully na Nyagwa.
Ndio yule alikua msemaji wa familia?lemutuz hajawahi mtajaSamweli pia. Samweli ni mdogo ila ndo alipewa usemaji wa familia hapa Dar. Wakiume wamebaki wawili Lemutuz na Samweli. Wa kike wapo Sece,Mwendwa,Tully na Nyagwa.
Hawa wakike wanne wote mama mmojaSamweli pia. Samweli ni mdogo ila ndo alipewa usemaji wa familia hapa Dar. Wakiume wamebaki wawili Lemutuz na Samweli. Wa kike wapo Sece,Mwendwa,Tully na Nyagwa.
Hili ni sahihi kabisa yeye Samia ndio alikuwa akimpa info za Ikulu Mange na kisha mange kulipua haswaSio kweli, mange anajipendekeza. Ulitaka mama Samia asemaje?
Ila huyo mama alikua bega kwa bega na ndio alikua anamtuma kutukana
Je kama matendo haya yanafanyika Mzee Malecela akiwa hai Itakuwaje siku mzee hayupo. Sio vizuri Ni wakati baba angeonyesha upendo kwa mwanae Le Mutuz kabla hajafa.Mwenye kosa ni Mzee John Malecela kumtenga katika familia mtoto wa ujana wake akiwa DO Mbeya!!!
Kwan alilazimishwa? Si aliridhika kwenda? huko ndio kutaka kwenyewe,We huna akili kabisa huyo mwenzio alipewa kazi na Umoja wa mataifa usifikiri alienda huko kuganga njaa kama wewe unavyoganga njaa hapa
Au mnaweza kupanga mambo wa ya baba na mama kumbe ni kaka yako.Yes humu wengi tunafahamiana in real life. Sema hizi ID zibaki hivi hivi. Humu unaweza hata bishana na mzazi wako kabisa. Thanks to fake ID's.
Alikuwa anasoma UDSM Engineering, anaitwa Senyagwa, alifarili 1984 kwa ajali akiwa anatoka Disco na benz ya baba yake. Alifia karibu na njia panda ya kwenda St. Peters Catholic church, kule Mbuyuni. Baba yake alienda kikazi Uingereza, yeye huku nyuma akamuomba mama yake ampe fungu za benz, akaenda disco la akina Kalikali enzi zile mpaka alfajiri na ndipo njiani akakutana uso kwa uso na lori, nadhani alisinzia shauri ya uchovu.Ippy sio Lemutuz, Lemutuz ni anaitwa William, yeye ni mkubwa kwa Ippy ila ni wa mama mwingine, yani sio mtoto wa kwnye ndoa .Ippy ana kaka yake mkubwa ambaye ayo alifariki kwa ajali miaka ya 80 huko
Uzi umechangiwa kweli kweli huu wa marehemu Dr Mwele Ntuli. Angekuwa aliyefariki ni Mwakifyatu hata angekuwa alikuwa na wadhifa wa Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa, sidhani kama wachangiaji wangefika hata kumi. Hapa wameshafika zaidi ya 221. Nimekumbuka ule wimbo wa Msondo ngoma!Mwili wa marehemu Dr. Mwele Ntuli Malecela umewasili Dar es salaam mnamo saa sita usiku na ndege ya KLM.
Mwili umepokelewa na baba yake mzee Samwel Malecela pamoja na waombolezaji wengi waliogubikwa na huzuni, na waliosubiri uwanjani toka jioni.
Msafara uliekekea moja kwa moja nyumbani kwa mzee Samwel Malecela ambapo sala fupi zilifanyika.
Mzee Abdulrahman Kinana aliyekuwa Katibu Mkuu CCM na Mama Kate Kamba Mwenyekiti wa CCM DSM, walishiriki misa hiyo fupi ya kuupokea mwili nyumbani kwa mzee Malecela.
Ishiiiiiy mange huyo anavyomchuia magufui hata mkifo chame alitunanga kweli hakuumizwa na kifo cha jpm.na maneno yake ya kukera leo msiba umebisha hidi kwa ***** eti nae analia? Ndo kajua kifo kinaumia? Ndivyo tuliumia hivo mwezi wa tatu.Sijui wewe ndiye Mange maana katika bandiko la awali ulijisahau ukasema "Nimeumia sana ......" . Hata hivyo wasiwasi wangu ni kutokuona matusi makali ya nguoni ambayo hata SHWEITANI anaogopa na kutetemeka akiyasikia.