Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
I wish nikuunge na my son who used that makitu for more than 20 years ila now is free.I'm going to the same shit like a boy DMX. The drugs are killing me
Poleee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I wish nikuunge na my son who used that makitu for more than 20 years ila now is free.I'm going to the same shit like a boy DMX. The drugs are killing me
samahani, hv hoja ni nini haswa hapa?mashabiki watakua wengi ni kizazi cha 90s hawa
Mimi nilikuwa siju kwamba it's funnyChai......washike masikio members wako hapa.. drugs gani unatumia pagan wewe??
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
I wish nikuunge na my son who used that makitu for more than 20 years ila now is free.
Poleee.
Pole sana Pagan....X wangu ambaye ni mama watoto amekuja tumeongea usiku mzima. Nimekubali anisaidie, kesho atanipeleka kwa wataalamu. Yaani hapa, I have to do it or I will die. Nikiwaangalia watoto wangu moyo inaniuma. Yaani leo ni siku ya mwisho. Kesho inabidi nichukue hatua
Pole sana Pagan....
Natamani kujua vingi, nitakuuliza unifahamishe i know nothing kuhusu hivi vitu.
Pole
Nadhani itapendeza tukimsaidia kaka yetu pagan. Sina shaka humu kuna wataalam wa Rehab..
Tunawasihi mseme JAMBO if you are in a position to extend help.
Poleni sana. Ilianzaje anzaje na imekwendaje hadi sasa. Naomba ufunguke maana utasaidia wengi na pia itakuweka wewe free na kuanza kuchukua hatua. Pole sana mkuuKesho nakwenda kwa daktari wa familia, yeye ndio atanipangia wapi pa kwenda. Nakumbuka mwaka jana aliniambia njoo tuongee hili swala, matokeo ilikuwa kila akinipigia simu sipokei mwisho akaona isiweze tabu akaachana na mimi. Lakini sasa nimekubali tuanze process
Poleni sana. Ilianzaje anzaje na imekwendaje hadi sasa. Naomba ufunguke maana utasaidia wengi na pia itakuweka wewe free na kuanza kuchukua hatua. Pole sana mkuu
Mungu akutangulie kaka!X wangu ambaye ni mama watoto amekuja tumeongea usiku mzima. Nimekubali anisaidie, kesho atanipeleka kwa wataalamu. Yaani hapa, I have to do it or I will die. Nikiwaangalia watoto wangu moyo inaniuma. Yaani leo ni siku ya mwisho. Kesho inabidi nichukue hatua
Aseehh!pole sana rafiki I do hope utavuka hili janga!Hivi vitu viko vya aina mbalimbali, na kila mtu ana ugonjwa wake. Ukifika hatua ya kujipiga sindano ujue hiyo ngoma ishakuwa nagwa. Wauzaji wa haya madude wanachojali ni pesa tu, wanakuua huku wanatabasamu
AmenKesho nakwenda kwa daktari wa familia, yeye ndio atanipangia wapi pa kwenda. Nakumbuka mwaka jana aliniambia njoo tuongee hili swala, matokeo ilikuwa kila akinipigia simu sipokei mwisho akaona isiweze tabu akaachana na mimi. Lakini sasa nimekubali tuanze process
👊👊Don't you give up the fight so easy mkuu! Usijitamkie kabisa kuwa umeshasurrender na kuwa unasubiri the same fate that the boy DMX has faced. Amua kuanzia sasa kuchukua hatua ya kuacha na upambane kweli kweli. Usiisikilize hiyo sauti inayokuambia kuwa umefika a point of no return. You still have a life, get up and fight.
Jina lake linaambatana naeDon't you give up the fight so easy mkuu! Usijitamkie kabisa kuwa umeshasurrender na kuwa unasubiri the same fate that the boy DMX has faced. Amua kuanzia sasa kuchukua hatua ya kuacha na upambane kweli kweli. Usiisikilize hiyo sauti inayokuambia kuwa umefika a point of no return. You still have a life, get up and fight.
Pole sana, nakuonea huruma sana, Ndugu wadogo kwa Baba yangu mdogo wote wameathiriwa na hiyo hali, najua nini unaoongea, Hii habari ione kwa jirani na sio kwenye famili.I wish vitu unavyoongea vingekuwa kweli. Hivi vitu uviskie kwa majirani