Mwili wa mtanzania mwenzetu Nemes Tarimo hatimaye waletwa Tanzania

Mwili wa mtanzania mwenzetu Nemes Tarimo hatimaye waletwa Tanzania

Sijui watazika wapi.

Baba moshi mama mbeya.

Imesikika wa moshi walivyoona mkanganyiko wakasema kikeni mkazike.

Ofcourse imesemekana ni alizaliwa by singo maza and all parents are no more.

Wanangu nendeni polepole ili mtuzike kwanza.
 
umetamka "Askari wa Wagner, Wagner ikiwa imekodiwa na Urusi kupigana vita kwa niaba ya Urusi kwa malipo."
huko kulikuwa na chama ?
Lissu alipokuwa Ubelgiji alijifuta uanachama wa CHADEMA?
 
Sijui watazika wapi.

Baba moshi mama mbeya.

Imesikika wa moshi walivyoona mkanganyiko wakasema kikeni mkazike.

Ofcourse imesemekana ni alizaliwa by singo maza and all parents are no more.

Wanangu nendeni polepole ili mtuzike kwanza.
Anazikwa mbeya...huyu hajawahi kulelewa na baba yake
Baba alikula kona
Anazikwa tukuyu huyu mwamba

Ova
 
kichwa cha habari kimebeba chuki:

Mwili wa mtanzania mwenzetu, mwanachama na mgombe ubunge wa CHADEMA hatimae waletwa Tanzania.​

ungesema raia wa tanzania aliyejitolea kuwa mwanajeshi urusi
Hakujitolea alilazimishwa na dikteta putin. Jiulize aliwezaje kutoka kifungoni na kujiunga na wahuni wale
 
Mtu akifa kafa.. hata ufanye nini Hawezi kurudi.
Aristotle One of the Ancient Greek Philosopher said '' once the person dies his soul departs from the body is he no more there.. Kashasepa.

Pia General Sun Tsu The Former Chinese General In his book Art of War said '' Battles are fought and won in the hearts of Men''.
That man Has given heart and blood to the Frontline.
Ukishaenda Vitani umeenda, na vita ni Vita.
Hakuna Cha Wagner Wala Nani ni kupiga kupigwa kujibu mapigo ya Adui.
Lala Mpiganaji.
 
Mtu akifa kafa.. hata ufanye nini Hawezi kurudi.
Aristotle One of the Ancient Greek Philosopher said '' once the person dies his soul departs from the body is he no more there.. Kashasepa.

Pia General Sun Tsu The Former Chinese General In his book Art of War said '' Battles are fought and won in the hearts of Men''.
That man Has given heart and blood to the Frontline.
Ukishaenda Vitani umeenda, na vita ni Vita.
Hakuna Cha Wagner Wala Nani ni kupiga kupigwa kujibu mapigo ya Adui.
Lala Mpiganaji.
Aminia kabisaaaa...

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Chadema imeingiaje tena! Why usiseme mtanzania! Ndio maana chama chenu hakisongi mbele, ukabila, udini na ukanda haufai
 
FncvnuIXgAAeUwk
NDIYO TATIZO LA CHADEMA WANAPENDA SANA VITA ONA SASA
 
Chadema imeingiaje tena! Why usiseme mtanzania! Ndio maana chama chenu hakisongi mbele, ukabila, udini na ukanda haufai
Alikuwa Mtanzania kama mimi -NIMESEMA. Alikuwa mwanachama wa CHADEMA kama wewe nimesema. Aligombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA nimesema WALA SIJABAGUA. Kama mnamkana sasa mngeenza na Lissu vinginevyo nyinyi ndio wabaguzi. Kwanza si angekuwa kwenye ziara za kushukuru wapiga kura kwa ajili ya kura za uchaguzi wa 2020
 
Apumzkie kwa amani ila alichagua biashara ya kisenge sana kwenye nchi za watu, kama alitaka kujihusisha na madawa basi ni bora shughuli zake za madawa angezifanyia nchini ambako angalau unaweza kupiganiwa na ndugu+jamaa ukatoka ila sio mbele.
 
Back
Top Bottom