Mwili wa mtanzania mwenzetu Nemes Tarimo hatimaye waletwa Tanzania

Mwili wa mtanzania mwenzetu Nemes Tarimo hatimaye waletwa Tanzania

Alikuwa Mtanzania kama mimi -NIMESEMA. Alikuwa mwanachama wa CHADEMA kama wewe nimesema. Aligombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA nimesema WALA SIJABAGUA. Kama mnamkana sasa mngeenza na Lissu vinginevyo nyinyi ndio wabaguzi. Kwanza si angekuwa kwenye ziara za kushukuru wapiga kura kwa ajili ya kura za uchaguzi wa 2020
Tusimulie kuhusu Hamza pia!
 
Tusimulie kuhusu Hamza pia!
Wakati wewe unamtenga na kumbagua Tarimo pata hizi habari kutoka eneo la tukio
Ndugu jamaa, marafiki ikiwemo wanachama na makada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wanaendelea kuomboleza msiba huo katika nyumba ya familia iliyopo Mbezi Kwa Mzungu, Dar es Salaam.
 
wamliliapiic.jpg
 
kichwa cha habari kimebeba chuki:

Mwili wa mtanzania mwenzetu, mwanachama na mgombe ubunge wa CHADEMA hatimae waletwa Tanzania.​

ungesema raia wa tanzania aliyejitolea kuwa mwanajeshi urusi
 
Back
Top Bottom