Tusimulie kuhusu Hamza pia!Alikuwa Mtanzania kama mimi -NIMESEMA. Alikuwa mwanachama wa CHADEMA kama wewe nimesema. Aligombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA nimesema WALA SIJABAGUA. Kama mnamkana sasa mngeenza na Lissu vinginevyo nyinyi ndio wabaguzi. Kwanza si angekuwa kwenye ziara za kushukuru wapiga kura kwa ajili ya kura za uchaguzi wa 2020
Ni sahihi kabisa kuwatenga wahalifu.nadhani hakuna aliyejua kwamba kadi huyo alikuwa mhalifu wa drugsChadema ni kama wamemtenga Tarimo kama CCM walivyomtenga Hamza wa Selender bridge!
Ndio, amekufa tangu October mwaka jana.Huyu jamaa kafariki toka mwezi wa 10 au!!?
Wakati wewe unamtenga na kumbagua Tarimo pata hizi habari kutoka eneo la tukioTusimulie kuhusu Hamza pia!
kichwa cha habari kimebeba chuki:
Mwili wa mtanzania mwenzetu, mwanachama na mgombe ubunge wa CHADEMA hatimae waletwa Tanzania.
ungesema raia wa tanzania aliyejitolea kuwa mwanajeshi urusi
Mtoto wa mama endelea kukuna nazi na dada zako hapo nyumbani,kazi za kiume hizoWA Ukraine wamemshughulikia vilivyo