Unahisi ndie yule aliyepiga kura moja ya hapana kwa mwenyekiti bwashee?Duh....
Wajumbe wote wako salama?
"Mimi na magufuli ni kitu kimoja"tukajua yameisha kwa utawala wa bwana yule
si kweli, yeye yuko 6 feet chini, we uko 0+ feet juu"Mimi na magufuli ni kitu kimoja"
Aah hujui chato ni milimani? Kwahyo hata 6 feet deep is still above the sea levelsi kweli, yeye yuko 6 feet chini, we uko 0+ feet juu
benchmark: sea level