Mwili wa Mtu waokotwa kwenye kiroba

Mwili wa Mtu waokotwa kwenye kiroba

Kuna Mtanzania mmoja aliwahi kuwa waziri wa mambo ya nje mara akapewa jina la kachero mbobezi by now yupo chali kisiasa, aliwahi kuja na kauli ya uchawa akisema "... katika utawala huu hutosikia Mtu ametekwa wala kuokotwa kwenye kiroba"

Huko Dodoma; mwili wa mtu uliokotwa ukiwa katika kiroba eneo la jirani na Shule ya Sekondari Jamhuri jijini Dodoma bado haujatambuliwa.


Mwili huo ambao ni wa mwanaume na umekutwa ukiwa umeanza kuharibika bado upo katika chumba cha kuhifadhia maiti ikatika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma.

View attachment 2439550
Amejiua kwa kutumia kiroba believe me
 
Kama umeokotwa sio mbaya.mbaya usingeonekana kabisa
 
Sio yule Mgoni alimfunga mwenye Mke Maisha.
 
Huyu ni gaidi..hayo huwa yanauliwa kimya kimya.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Saazingine kumumunya maneno ama kukosa mtu wa kulisemea jambo kuna madhara makubwa sana.

Hivi, maiti zote zilizozalishwa "operesheni Kibiti" zilipelekwa kuzikwa wapi?

Hilo la kwanza, la pili mateka wote katika operesheni hiyo walipelekwa gereza gani la mahabusu kusubiria mwenendo wa kesi zao?

Kuna kesi ngapi za magaidi wa Kibiti zilizofunguliwa mahakamani mpaka sasa?

Dodoso la maswali yote hayo ni kuonesha namna Serikali inavyoweza kufanya kazi nzuri sana na kisha matokeo ya kazi hiyo mwishoni kuonekana kuichafua Serikali hiyo hiyo!

Ni kwa sababu gani, ni kwa sababu ya kutokupangilia vyema mustakabali wa jambo lolote jema linalopangwa kufanywa kwa ajili ya maslahi mapana ya umma.

"Operesheni Kibiti" imeacha doa kwa Serikali ya awamu ya5 kwa kushindwa kwake kupangilia vyema uendeshaji wa Operesheni hiyo.

Operesheni za kijeshi kwa lugha mbadala ni "vita".

Vinapopangwa vita, ukiacha gharama na maslahi ya wanajeshi watakao shiriki katika vita hivyo, huangaliwa pia namna wafungwa wa vita watakakohifahiwa na mustakabali wao.

Sasa ilikuwaje walioplan vita hiyo wakashindwa kuainisha kipengele hicho muhimu?

Hata kama ilikuwa imepangwa kuwaelliminate mateka wote, ilitakiwa kuwe na kituo cha kupokelea mateka hao, kuwahoji na kuwauwa na kisha kuwazika.

Na katika mazishi hayo lazima viwekwe vitambulisho vya majina yao halisi kila kaburi na siyo kuwazika halaiki.

Kosa walilolifanya la kiufundi kuwauwa mateka na kuwajaza kwenye viroba na kisha kuwatupa ovyo kihuni.

Kwa kuwa hapajasemwa wazi kadhia hiyo labda kwa kuhofia kuwajibishwa, wasiofahamu ukweli huu, mpaka leo wanaisema vibaya Serikali kuwa ilikuwa inauwa wapinzani na kuwatupa kwenye viroba na hakuna aliyefungua domo lake kukanusha!

Mambo hayo yangeliwekwa wazi pasingelitokea mtu wa kuchongoroa mdomo kuibebesha lawama nzito Serikali kwa jambo hilo lililoleta ushindi wenye manufaa.
 
Saazingine kumumunya maneno ama kukosa mtu wa kulisemea jambo kuna madhara makubwa sana.

Hivi, maiti zote zilizozalishwa "operesheni Kibiti" zilipelekwa kuzikwa wapi?

Hilo la kwanza, la pili mateka wote katika operesheni hiyo walipelekwa gereza gani la mahabusu kusubiria mwenendo wa kesi zao?

Kuna kesi ngapi za magaidi wa Kibiti zilizofunguliwa mahakamani mpaka sasa?

Dodoso la maswali yote hayo ni kuonesha namna Serikali inavyoweza kufanya kazi nzuri sana na kisha matokeo ya kazi hiyo mwishoni kuonekana kuichafua Serikali hiyo hiyo!

Ni kwa sababu gani, ni kwa sababu ya kutokupangilia vyema mustakabali wa jambo lolote jema linalopangwa kufanywa kwa ajili ya maslahi mapana ya umma.

"Operesheni Kibiti" imeacha doa kwa Serikali ya awamu ya5 kwa kushindwa kwake kupangilia vyema uendeshaji wa Operesheni hiyo.

Operesheni za kijeshi kwa lugha mbadala ni "vita".

Vinapopangwa vita, ukiacha gharama na maslahi ya wanajeshi watakao shiriki katika vita hivyo, huangaliwa pia namna wafungwa wa vita watakakohidhiwawa na mustakabali wao.

Sasa ilikuwaje walioplan vita hiyo wakashindwa kuainisha kipengele hicho muhimu?

Hata kama ilikuwa imepangwa kuwaelliminate mateka wote, ilitakiwa kuwe na kituo cha kupokelea mateka kuwahoji na kuwauwa na kisha kuwazika.

Na katika mazishi hayo lazima viwekwe vitambulisho vya majina yao halisi kila kaburi na siyo kuwazika halaiki.

Kosa walilolifanya la kiufundi kuwauwa mateka na kuwajaza kwenye viroba na kisha kuwatupa ovyo kihuni.

Kwa kuwa hapajasemwa wazi kadhia hiyo labda kwa kuhofia kuwajibishwa, wasiofahamu ukweli huu, mpaka leo wanaisema vibaya Serikali kuwa ilikuwa inauwa wapinzani na kuwatupa kwenye viroba na hakuna aliyefungua domo lake kukanusha!

Mambo hayo yangeliwekwa wazi pasingelitokea mtu wa kuchongoroa mdomo kuibebesha lawama nzito Serikali kwa jambo hilo lililoleta ushindi wenye manufaa.
Hilo ndo lilitokea?,,
Huo ni ukiukakaji mkubwa wa haki za binadamu, siamini kama ndo ilikua hivyo,, hata vitani, mateka hauAwi,,
Hata hap US,, hawawezi kukili terminations 🤷🏼‍♂️,lbda za nje ya US
 
Hilo ndo lilitokea?,,
Huo ni ukiukakaji mkubwa wa haki za binadamu, siamini kama ndo ilikua hivyo,, hata vitani, mateka hauAwi,,
Hata hap US,, hawawezi kukili terminations 🤷🏼‍♂️,lbda za nje ya US
"Haki za binadamu" ni kauli tata sana
Yaani anayekiuka haki za binadamu, akikiukiwa yeye ndiyo inakuwa haki ya binadamu imekiukwa what for?

Kila operesheni huwa ina malengo yake, kama ni kuhifadhi ama kuangamiza mateka, mambo hayo hupangwa kabla operesheni yenyewe kuanza.

Kukamata na kuua ovyo ovyo na kuwaweka kwenye viroba na kisha kuvitupa mara mtoni mara baharini ndilo kosa la haki za kibinadamu walilolifanya.

Kama wangeliweka kituo maalumu kwa ajili ya kuwahoji na kisha kuwauwa kama ilikuwa imepangwa hivyo, hakuna haki ya binadamu ingelikuwa imevunjwa hapo, maana hakuna taratibu zozote za kioperesheni ambazo zingelikuwa zimekiukwa na hakuna ambaye angeliwajibishwa.
 
JF imekuaje? Tumefikia mahali kwamba maisha ya mtu hayana thamani kiasi kwamba baadhi yenu mnaona huu uzi ni nafasi ya kuscore cheap political points?
 
Back
Top Bottom