Mwili wa mwanamuziki mashuhuri, marehemu Tabia Mwanjelwa kuwasili nchini Jumatatu

Mwili wa mwanamuziki mashuhuri, marehemu Tabia Mwanjelwa kuwasili nchini Jumatatu

Tulia awe na "mikosi,laana na kukataliwa!?"
PhD,Bunge la katiba,mbunge mbeya mjini,spika wa Bunge la jamhuri,Rais wa wamabunge duniani,n.k awe na hayo!?

Binadamu ni shida kweli. Anamchukia mtu kwa sababu ambazo hata yeye mwenyewe mchukiaji hazijui
 
Tulia sio mnyakyusa Kabila lake ni “ MUHORO” kutoka Mbeya vijijini!
Mbeya vijijini wanaishi Wasafwa. Tulia ni mzaliwa wa wilaya ya Rungwe na ni Mnyakyusa kwa kabila. Acha kupotosha.

Hakuna msafwa mwenye sura mbovu kama ya Tulia
 
Mbeya vijijini wanaishi Wasafwa. Tulia ni mzaliwa wa wilaya ya Rungwe na ni Mnyakyusa kwa kabila. Acha kupotosha.

Hakuna msafwa mwenye sura mbovu kama ya Tulia
Afadhali MUHORO umejitokeza kutetea ndugu zako!
Yaani Tulia mbaya zaidi ya wasafwa!!😳😳
 
Asante. Kumbe ndiye huyu aliiimba huu wimbo? Kitambo sana. Nyimbo za zamani nzuri kweli. Nyimbo nyingi za sasa hivi ni majanga! Zimejaa matusi na vituko vya ajabu ajabu.
Na alimwimbia binti yake anaitwa Jane ambaye ndo hapo juu kwenye hii habari ndo ametoa taarifa ya mazishi
 
Back
Top Bottom