Mwili wangu huwa unanuka mpaka sina raha ya kuishi

Mkuu Saikolojia vipi na watu wanakimbiana kila jamaaa anavyokaribia!!!Allah amfanyie wepesi aisee niswala ambalo linamuumiza sana kama nikweli!!!
 
Namuongezea... Anywe maji kwa wingi.. Yanasaidia kuondoa uchafu kwa njia ya mkojo
 
Inaweza kabisa kuwa ni matatizo ya kiroho. Waone watumishi wa Mungu waliokoka watakusaidia kwa Jina la YESU. YESU hashindwi kitu na anakupenda pia
Hii nayo ianaweza kua kweli!
 
Huyu siyo mgonjwa. He don't even reply to any post. Ukitaka kupona wasiliana nami. Ukitaka kuendelea kunuka kazi kwako pia
 
Mchek daktar wa masuala ya ngoz...nenda TMJ hospital kuna matibabu mazur ya ngoz
 
Ukweli ni kwamba wewe una shida kichwani, some sort of body dysmorphic disorder. Sio kweli kwamba unanuka, mpaka koridoni watu walio kulee wazibe pua. Hii shida iko kichwani kwako, uko deluded, na una hallucinate. Inawezekana kwenye pumbu kuna shida, ama una percieve kwamba kuna shida ila sio kwa kiwango hicho unachosema. Ukimuona Daktari wa ngozi nina hakika lazima akuelekeze kwa Daktari wa magonjwa ya akili. Huo ndio ukweli mchungu
 
mjomba izo ngunga zitakuwa manii azina pa kutokea jaribu kupiga nyeto Kwa wiki 1 lazima tatizo liishee
 
jaribu kwenda hindu mandal kuna daktari mzuri sana pale anaitwa Herifred Kimambo muone kama utapenda kumwona personal ni pm nkupe namba yake
 
Hapo bila ubishi Hio ni fangasi .kawaida ya fangasi hupenda kukaa kwenye pachipachi kama hizo, hivyo nenda kamwone dactari akupe Dawa hilo sio tatizo lako ni wengi, maana hizo sehemu zikikutana na jasho wale fungi wanakua kama wametumwa matokeo yake ndo hivyo,
 
TAFUTA.MMEA UNAITWA BASIL AU HOLY BASIL CHUKUA MBEGU ZAKE CHANGANYA NA MAJI KAOSHE KWA KUSUGUA MAENEP YANAYOTOA HARUFU
2.OSHEA UKOKO WA UGALI
 
asante mkuu nimesema vaselline sababu me nikinyoa napaka na kuna kuwa kuzuri sana
[emoji445][emoji445][emoji445]
Kwetu pazuuri nimeshapakumbuka...
Ninayo hamu kuishi na mwokozi wangu....
Bwana ndiye Furaha tena ya Ajabu....
Sipati picha kwa watakaofika kwetu Mbinguniiiiii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…