Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ukiangalia mitandaoni hili tatizo lipo tu na tiba ni kutumia baby powder kila wakati.
Hakikisha sehemu inakuwa dry mda wote kila baada ya kuoga hata kama ukiwa unatembea jaribu kuwa na tissue paper na kujifuta ukiwa faragha.
Angalia mwingine huyo ana tatizo kama lako
Hakikisha sehemu inakuwa dry mda wote kila baada ya kuoga hata kama ukiwa unatembea jaribu kuwa na tissue paper na kujifuta ukiwa faragha.
Angalia mwingine huyo ana tatizo kama lako