Kuna deodorant fulani ya forever living inaitwa ever shield, embu jaribu kuitumia hiyo uone...ni nzuri pia kwa wenye harufu kali za jasho..kuna watu kweli naturally wana strong hormones ndo inaleta hiyo shida.. wengine nasikia wanashauri kusugua kwa ndimu..lakini sasa kama hiyo inatokea huko southern hemisphere inaweza kuwa changamoto pia.. mwisho wa yote jaribu kwenda hospitali kusikiliza wataalamu na utaalamu unasemaje unaweza kupata suluhisho.. pole sana ndugu