Mwimbaji Richi Mavoko Aingia Katika listi ya Mastaa wa Kiume Waliojichubua Ngozi na Kuwa waupe

Tukizidiwa tunayamwaga humu humu, watukamatege tu, kwani jela wanakaa mbuzi nfyuuuu

Siku ukikamatwa ndio utajua wanakaa mbuzi au mende we huoni Gwajima alizimiàa
Presha inapanda na kushukaaaa
 

List ni ndefu sana kuna wengine wakitajwa hapa patachimbika.
Duh ila sheria inasema ukiweka tu picha ya mtu na nini na nini jela miezi 6 au milioni 3 au vyote kwa pamoja tehe tehee serikali iongeze idadi ya magereza
 
View attachment 240632
List ni ndefu sana kuna wengine wakitajwa hapa patachimbika.
Duh ila sheria inasema ukiweka tu picha ya mtu na nini na nini jela miezi 6 au milioni 3 au vyote kwa pamoja tehe tehee serikali iongeze idadi ya magereza

Iongeze iyakarabati yawe kama ya mtoni hata ukikaamo raha tu helooo na sheria ishapitishwaa,mfano humu watakamataje watu
 

Wanataka kuwa na muonekano wa ki staaaa
 
Kwa hatua aliyofikia amejitoa kwenye kundi la wanaume....
 

Binamu umbea wote nitapiga ila sio kuanika mambo yangu ya faragha hadharani hata siku moja.Hiyo itabaki siri yangu na shemejio tu.
Mwanamke stara bwana.
 
Huko kubaya sana alikoelekea naogopa asije akaongeza na makalio ahahaahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…