Mwimbaji Richi Mavoko Aingia Katika listi ya Mastaa wa Kiume Waliojichubua Ngozi na Kuwa waupe

Mwimbaji Richi Mavoko Aingia Katika listi ya Mastaa wa Kiume Waliojichubua Ngozi na Kuwa waupe

Tukizidiwa tunayamwaga humu humu, watukamatege tu, kwani jela wanakaa mbuzi nfyuuuu

Siku ukikamatwa ndio utajua wanakaa mbuzi au mende we huoni Gwajima alizimiàa
Presha inapanda na kushukaaaa
 
ImageUploadedByJamiiForums1428233155.390636.jpg
List ni ndefu sana kuna wengine wakitajwa hapa patachimbika.
Duh ila sheria inasema ukiweka tu picha ya mtu na nini na nini jela miezi 6 au milioni 3 au vyote kwa pamoja tehe tehee serikali iongeze idadi ya magereza
 
View attachment 240632
List ni ndefu sana kuna wengine wakitajwa hapa patachimbika.
Duh ila sheria inasema ukiweka tu picha ya mtu na nini na nini jela miezi 6 au milioni 3 au vyote kwa pamoja tehe tehee serikali iongeze idadi ya magereza

Iongeze iyakarabati yawe kama ya mtoni hata ukikaamo raha tu helooo na sheria ishapitishwaa,mfano humu watakamataje watu
 
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Kabla na Baada[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
List ya Masuper star wa Kiume Bongo waliojibadilisha ngozi kwa kutumia mkorogo ama madawa inazidi kunona baada ya Msanii Richi Mavoko Kusemekana naye amejichumbua ngozi kwani muonekano wake wa kabla na sasa ni tofauti sana kama inavyoonekana hapo juu kwenye picha....

Picha hiyo imewekwa instagram na mdau mmoja na hivi ndiyo watu walivyoichukulia:

shalifanuhu
Wao umenaga

ugly73
Lakini napenda SAUTI yake .. Sasa sijui bado ipo AU imekua kama YA Recho kizunguzungu... Shuti kuimba kwa

anney09kavishe
Hata wanaume wanahangaika na mkorogo jaman lol

amosemma
Ha ha ! Natural ndio mpango mwanaume hvo aibuu.

mayna_pemba
Wakaka wanataka kufanana na dada zao

Wanataka kuwa na muonekano wa ki staaaa
 
Kwa hatua aliyofikia amejitoa kwenye kundi la wanaume....
 
Funguka bhana, kwani inahuu? Jiachie binamu wapenda nini kunako sita kwa sita? Umbea tuweke pembeni kidogo maana sheria ishapitishwa kuanzia sasa ukikamatwa miaka 9 jela au faini ya mil 3,aya nazinyea wapi warumi mie? LEo elfu mbili tu ya kwenda coco imenishinda

Binamu umbea wote nitapiga ila sio kuanika mambo yangu ya faragha hadharani hata siku moja.Hiyo itabaki siri yangu na shemejio tu.
Mwanamke stara bwana.
 
Huko kubaya sana alikoelekea naogopa asije akaongeza na makalio ahahaahahah
 
Back
Top Bottom