SI KWELI Mwimbaji wa Nyimbo za Injili, Bonny Mwaitege afariki dunia katika ajali ya barabarani

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Kumekuwa na tabia chafu ya watu kuzushiwa kuwa wamefariki ingawa wapo hai.
Leo mwimbaji wa injili Bon mwaitege amezushiwa kuwa amefariki, kibaya zaidi waliozusha taarifa hizo ni media ambayo ipo kwenye game kwa muda mrefu (Rick Media)
Binafsi naona wanatakiwa washugulikiwe na rungu la serikali ili iwe fundisho
 

Attachments

  • IMG-20240722-WA0023.jpg
    132.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240722-134450.png
    814.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240722-133625~2.png
    1.5 MB · Views: 2
Tunaomba majina ya wamiliki wa hii Blog,
 
Yani hiyo media walitoa hiyo habari kisha ndio wakawa wanawasiliana na watu wa karibu wa huyo Rick ili kupata uhakika! kwa lugha rahisi wanafanya kazi kwa kutumia gia ya rivasi.

Mbele wamepeleka nyuma na nyuma wakapeleka mbele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…