SI KWELI Mwimbaji wa Nyimbo za Injili, Bonny Mwaitege afariki dunia katika ajali ya barabarani

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Huyuu bon mwaitege kila baada ya mwezi anazushiwa kifoo. Hii ni roho ya mauti inamuandama bony apige goti akemee hii roho.
 
Ajaliwe kufika salama hiyo safari, wakenya ni changamoto sana aisee
 
Leo mapema zilitoka taarifa kwenye mbalimbali vya habari kuwa, muimbaji nguli wa njimbo za injili nchini. Boniface Mwaitege amefariki dunia kwa ajali ya gari.

Muda mfupi baada ya taarifa hizo zimetoka taarifa zingine kuwa, mke wa bon Mwaitege amekanusha taarifa hizo kuwa mume wake yupo hai na amepumzika nyumba baada ya kutoka safarini nchini kenya.

Source. Millard ayo

 
Bony mwaitege popote ulipo ingia kwenye ulimwengu wa roho upambane amana kuzushiwa kufa jamani mmh sali sana ujue kutamka kunaumba isijekuwa vingine ndgu yangu
 
Kama vipi afe tu, wasituchanganye bado hatujamalizana na Mwigulu.
 
Huyuu bon mwaitege kila baada ya mwezi anazushiwa kifoo. Hii ni roho ya mauti inamuandama bony apige goti akemee hii roho.
Kila kiumbe hai kitakufa kwa siku yake ikifika,
Ukipiga goti na kukemea ndio kifo chako kitachelewa? au watu wakikuzushia kifo ndio utakufa mapema? media hua zinazusha jambo ili kutafuta kujulikana tu publicity.
 
Iwe heri asife.
Mungu amlinde na umauti
 
Aibu sana hii,uzi mpaka unafikisha post zaidi ya 600 mnashindwa ku cross check

Mtakuja kuzusha taharuki bure,au mfunguliwe kesi ya kudaiwa fidia
 
Mbona wanakanyagana, aliyelala naye anasema anauchovu wa Kenya, swahiba anasema wala hakwenda Kenya, kulikoni

 
Waliozusha hii taarifa ni binadamu wenye roho mbaya sana. Kwa nini umsingizie binadamu mwenzako kifo! Mimi ndiyo maana nafsi yangu iligoma kabisa kuamini hii taarifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…