Vile vile fanbase ya uganda imekuwa confused na hii nigerian wave na hii imewakatisha tamaa artists wa uganda na kupunguza biashara yao. Ila nakubaliana nawe kwamba uganda wapo mbele kuliko sisi kwenye chain yote kuanzia production, videos mpaka sponsorship.mbona waganda bado wapo hot sema tu siku hizi hakuna acts wakubwa wanaoimba lugha zinazoeleweka bongo kama zamani mfano Goodlife, Jackie chandiru, Blue 3, Chameleon
Ila bado wapo vizuri kwenye production ya muziki wao haswa quality videoz na pia wana acts kama Eddy Kenzo, Azawi, sheebah etc ambao bado wanahit East Africa nzima
Nabikoa ni nzuri sana.Namkubali juliana mpaka kesho,huyu ndo msanii wangu bora kwa wanawake east africa kwa muda wote
Huyu Dada alitisha sana kipindi kile
Nyimbo zake ninazo zote
Kuna tindatine, nzewowo, na kuna hii Kali "sirikusula"...
Huyu bado yupo kwa sasa na kaachia kibao karibuni ..
Uganda zamani walikuwa wanajua sana muziki aseeh.
Kuna mdada mwingine aliitwa Sarah zawede ..halafu Juliana , herieth kinseka.
Walitisha mnoo
Pia video hiyo tindatine ni kisa cha ukweli kiliwahi tokea ndo akatungia nyimbo.
Video ilishutiwa sehemu moja Uganda inaitwa mbarari
Aaah saaaanaa,huwezi amini hadi leo hii iko kwenye playlist yangu..waganda sijui wanakwama wapi!?Nabikoa ni nzuri sana.
Hahahaha umesahau Kabalagala na Gaba. Jebaleko ssebo [emoji849]Viota vyao vingi k'la vipo sehemu inaitwa Ntinda, Kansaanga na Bugolobi.
Nadhani waganda wanaongoza ku party kwenye ukanda huu.
Vile vile fanbase ya uganda imekuwa confused na hii nigerian wave na hii imewakatisha tamaa artists wa uganda na kupunguza biashara yao. Ila nakubaliana nawe kwamba uganda wapo mbele kuliko sisi kwenye chain yote kuanzia production, videos mpaka sponsorship.
Mbarara sio mbalalaMbalala Uganda siyo mbarari mkuu
Hahahaaaaa...kabalagala kwenye kuku wa kukaanga wanawauza kwenye vikabati vile🤣Hahahaha umesahau Kabalagala na Gaba. Jebaleko ssebo [emoji849]
Hii nyimbo mpaka kwsho kutwa inapendeza. Kuna yule jamaa mwenye miguu spoku kwenye video, anaweza
Ni Blue 3Kuna wale wanaitwa bluce 3
Uganda na mauno wanajua. katereroh kwa sanaHuyu Dada alitisha sana kipindi kile
Nyimbo zake ninazo zote
Kuna tindatine, nzewowo, na kuna hii Kali "sirikusula"...
Huyu bado yupo kwa sasa na kaachia kibao karibuni ..
Uganda zamani walikuwa wanajua sana muziki aseeh.
Kuna mdada mwingine aliitwa Sarah zawede ..halafu Juliana , herieth kinseka.
Walitisha mnoo
Pia video hiyo tindatine ni kisa cha ukweli kiliwahi tokea ndo akatungia nyimbo.
Video ilishutiwa sehemu moja Uganda inaitwa mbarari