Mwimbaji wa Uganda Lady Mariamu yuko wapi?

Mwimbaji wa Uganda Lady Mariamu yuko wapi?

mbona waganda bado wapo hot sema tu siku hizi hakuna acts wakubwa wanaoimba lugha zinazoeleweka bongo kama zamani mfano Goodlife, Jackie chandiru, Blue 3, Chameleon

Ila bado wapo vizuri kwenye production ya muziki wao haswa quality videoz na pia wana acts kama Eddy Kenzo, Azawi, sheebah etc ambao bado wanahit East Africa nzima
Vile vile fanbase ya uganda imekuwa confused na hii nigerian wave na hii imewakatisha tamaa artists wa uganda na kupunguza biashara yao. Ila nakubaliana nawe kwamba uganda wapo mbele kuliko sisi kwenye chain yote kuanzia production, videos mpaka sponsorship.
 
Viota vyao vingi k'la vipo sehemu inaitwa Ntinda, Kansaanga na Bugolobi.
Nadhani waganda wanaongoza ku party kwenye ukanda huu.
 
Kuna wale wanaitwa bluce 3
Huyu Dada alitisha sana kipindi kile
Nyimbo zake ninazo zote
Kuna tindatine, nzewowo, na kuna hii Kali "sirikusula"...

Huyu bado yupo kwa sasa na kaachia kibao karibuni ..
Uganda zamani walikuwa wanajua sana muziki aseeh.
Kuna mdada mwingine aliitwa Sarah zawede ..halafu Juliana , herieth kinseka.
Walitisha mnoo

Pia video hiyo tindatine ni kisa cha ukweli kiliwahi tokea ndo akatungia nyimbo.
Video ilishutiwa sehemu moja Uganda inaitwa mbarari
 
Vile vile fanbase ya uganda imekuwa confused na hii nigerian wave na hii imewakatisha tamaa artists wa uganda na kupunguza biashara yao. Ila nakubaliana nawe kwamba uganda wapo mbele kuliko sisi kwenye chain yote kuanzia production, videos mpaka sponsorship.

Good na wewe umeona hilo. Waganda kwenye production haswa videoz hatuwagusi
 
Tindatine. Ni wimbo naweza uimba hata nikiwa usingizini bila kukosea hata neno moja.🥰

Akishiki aka kaboniire munonga
 
Huyu Dada alitisha sana kipindi kile
Nyimbo zake ninazo zote
Kuna tindatine, nzewowo, na kuna hii Kali "sirikusula"...

Huyu bado yupo kwa sasa na kaachia kibao karibuni ..
Uganda zamani walikuwa wanajua sana muziki aseeh.
Kuna mdada mwingine aliitwa Sarah zawede ..halafu Juliana , herieth kinseka.
Walitisha mnoo

Pia video hiyo tindatine ni kisa cha ukweli kiliwahi tokea ndo akatungia nyimbo.
Video ilishutiwa sehemu moja Uganda inaitwa mbarari
Uganda na mauno wanajua. katereroh kwa sana
 
Back
Top Bottom