Mwina Kaduguda aliposema kuwa Michezaji mingi ya Tanzania Mimbumbu alikuwa sahihi sana

Mwina Kaduguda aliposema kuwa Michezaji mingi ya Tanzania Mimbumbu alikuwa sahihi sana

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Yaani Beki Abdallah Shaibu 'Ninja' wa Yanga SC anajua kabisa kuwa hana hata Namba Yanga SC hii yenye Majembe tupu na Msimu uliopita kama kuna Mechi ya Ligi aliyocheza basi ni Moja na hata za Kirafiki pia kacheza chache cha Kushangaza Jana ameongeza tena Mkataba wa Miaka miwili zaidi kuendelea Kuozea Benchi Yanga SC.

Nimesikitika mno kwakuwa kwa Uwezo wa Beki Shaibu Ninja nina uhakika angeachana na Yanga SC na kwenda Azam FC au Geita Gold FC au Namungo FC au Singida Stars FC na hata Simba SC angekuwa na Namba ya kudumu na angecheza, ila kachagua kubakia Kuozea Benchi Yanga SC huku akila Mahela ya GSM na Kukimaliza kabisa Kiwango chake.

Wachezaji wa Kitanzania wanahitaji mno Elimu ili Kubadilika Kifikra na Kimtazamo lakini hata Wanaowasimamia (Managers) wao wanatakiwa kuwa ni Watu makini na wenye Upeo wa Kimaendeleo na Uthubutu.
 
Yaani Beki Shaibu Ninja wa Yanga SC anajua kabisa kuwa hana hata Namba Yanga SC hii yenye Majembe tupu na Msimu uliopita kama kuna Mechi ya Ligi aliyocheza basi ni Moja na hata za Kirafiki pia kacheza chache cha Kushangaza Jana ameongeza tena Mkataba wa Miaka miwili zaidi kuendelea Kuozea Benchi Yanga SC.

Nimesikitika mno kwakuwa kwa Uwezo wa Beki Shaibu Ninja nina uhakika angeachana na Yanga SC na kwenda Azam FC au Geita Gold FC au Namungo FC au Singida Stars FC na hata Simba SC angekuwa na Namba ya kudumu na angecheza, ila kachagua kubakia Kuozea Benchi Yanga SC huku akila Mahela ya GSM na Kukimaliza kabisa Kiwango chake.

Wachezaji wa Kitanzania wanahitaji mno Elimu ili Kubadilika Kifikra na Kimtazamo lakini hata Wanaowasimamia ( Managers ) wao wanatakiwa kuwa ni Watu makini na wenye Upeo wa Kimaendeleo na Uthubutu.
Nakubaliana na wewe, nashauri aombe kwenda Geita kwa mkopo atafanya vizuri zaidi.
 
Yaani Beki Abdallah Shaibu 'Ninja' wa Yanga SC anajua kabisa kuwa hana hata Namba Yanga SC hii yenye Majembe tupu na Msimu uliopita kama kuna Mechi ya Ligi aliyocheza basi ni Moja na hata za Kirafiki pia kacheza chache cha Kushangaza Jana ameongeza tena Mkataba wa Miaka miwili zaidi kuendelea Kuozea Benchi Yanga SC.

Nimesikitika mno kwakuwa kwa Uwezo wa Beki Shaibu Ninja nina uhakika angeachana na Yanga SC na kwenda Azam FC au Geita Gold FC au Namungo FC au Singida Stars FC na hata Simba SC angekuwa na Namba ya kudumu na angecheza, ila kachagua kubakia Kuozea Benchi Yanga SC huku akila Mahela ya GSM na Kukimaliza kabisa Kiwango chake.

Wachezaji wa Kitanzania wanahitaji mno Elimu ili Kubadilika Kifikra na Kimtazamo lakini hata Wanaowasimamia (Managers) wao wanatakiwa kuwa ni Watu makini na wenye Upeo wa Kimaendeleo na Uthubutu.
Mkuu kama hela analipwa vzr na hajapata ofa nzuri zaidi unategemea nini.? Ugali muhimu
 
Ninja hana kiwango cha kuwepo Simba SC, labda huko Geita na Namungo.
 
Ukishangaa ya SHAIBU NINJA

Utastaajabu ya KENEDY JUMA
 
Yaani Beki Abdallah Shaibu 'Ninja' wa Yanga SC anajua kabisa kuwa hana hata Namba Yanga SC hii yenye Majembe tupu na Msimu uliopita kama kuna Mechi ya Ligi aliyocheza basi ni Moja na hata za Kirafiki pia kacheza chache cha Kushangaza Jana ameongeza tena Mkataba wa Miaka miwili zaidi kuendelea Kuozea Benchi Yanga SC.

Nimesikitika mno kwakuwa kwa Uwezo wa Beki Shaibu Ninja nina uhakika angeachana na Yanga SC na kwenda Azam FC au Geita Gold FC au Namungo FC au Singida Stars FC na hata Simba SC angekuwa na Namba ya kudumu na angecheza, ila kachagua kubakia Kuozea Benchi Yanga SC huku akila Mahela ya GSM na Kukimaliza kabisa Kiwango chake.

Wachezaji wa Kitanzania wanahitaji mno Elimu ili Kubadilika Kifikra na Kimtazamo lakini hata Wanaowasimamia (Managers) wao wanatakiwa kuwa ni Watu makini na wenye Upeo wa Kimaendeleo na Uthubutu.
Kimpira kafanya kosa kubwa sana maana kiwango chake kinapotea, ila kimaisha yupo sahihi. Pengine kaona anapata pesa nzuri ya kuendesha maisha yake. Kikubwa tu ajipange na maisha nje ya soka endapo atatemwa na Yanga.
 
Yaani Beki Abdallah Shaibu 'Ninja' wa Yanga SC anajua kabisa kuwa hana hata Namba Yanga SC hii yenye Majembe tupu na Msimu uliopita kama kuna Mechi ya Ligi aliyocheza basi ni Moja na hata za Kirafiki pia kacheza chache cha Kushangaza Jana ameongeza tena Mkataba wa Miaka miwili zaidi kuendelea Kuozea Benchi Yanga SC.

Nimesikitika mno kwakuwa kwa Uwezo wa Beki Shaibu Ninja nina uhakika angeachana na Yanga SC na kwenda Azam FC au Geita Gold FC au Namungo FC au Singida Stars FC na hata Simba SC angekuwa na Namba ya kudumu na angecheza, ila kachagua kubakia Kuozea Benchi Yanga SC huku akila Mahela ya GSM na Kukimaliza kabisa Kiwango chake.

Wachezaji wa Kitanzania wanahitaji mno Elimu ili Kubadilika Kifikra na Kimtazamo lakini hata Wanaowasimamia (Managers) wao wanatakiwa kuwa ni Watu makini na wenye Upeo wa Kimaendeleo na Uthubutu.
popoma.
 
Mwaka Mmoja sio miwili collect ya facts well before kuwa na muhemko! na hadi anarenew contract hayo yote alishaona na kakubaliana na hali.
 
Back
Top Bottom