Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
"Katika uongozi wangu hakuna shabiki aliyewahi kusema anahitaji katiba, kila shabiki alikuwa anahitaji furaha tu."
"Vivyo hivyo mpaka sasa mashabiki wa Simba wanahitaji furaha bila kuhimiza mchakato wa kuipata hiyo furaha (Katiba)"
"Rage alikuwa sahihi na namuunga mkono kwa kuwaita mashabiki wa Simba Mbumbumbu"
©️ Mwina Seif Kaduguda
Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC.
"Vivyo hivyo mpaka sasa mashabiki wa Simba wanahitaji furaha bila kuhimiza mchakato wa kuipata hiyo furaha (Katiba)"
"Rage alikuwa sahihi na namuunga mkono kwa kuwaita mashabiki wa Simba Mbumbumbu"
©️ Mwina Seif Kaduguda
Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC.