Mwina Kaduguda: Mashabiki wa Simba ni mbumbumbu.

Mwina Kaduguda: Mashabiki wa Simba ni mbumbumbu.

Dah, nakumbuka vizuri, ilikua June 2005 nafikiri akawa analalamika hela zake (Elfu 5) aliyowanunulia wachezaji chapati....

Ila 5imba!!
Ameshachalala anatafuta namna ya kurudi, historia yake inajulikana vizuri, ni kocha ambaye hajawahi kufundisha timu
 
"Katika uongozi wangu hakuna shabiki aliyewahi kusema anahitaji katiba, kila shabiki alikuwa anahitaji furaha tu."

"Vivyo hivyo mpaka sasa mashabiki wa Simba wanahitaji furaha bila kuhimiza mchakato wa kuipata hiyo furaha (Katiba)"

"Rage alikuwa sahihi na namuunga mkono kwa kuwaita mashabiki wa Simba Mbumbumbu"

©️ Mwina Seif Kaduguda
Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC.
Sisi Utopolo tunaungana na Mhina ktk hili
 
Umemshambulia mtoa mada baada ya kushambulia Mada.

Anapigwa na mkewe, kala hela za rambirambi, alikuwa anadai hela za chapati.. Hili ni povubkama huuljui

Au wewe ni katika hao Mbumbumbu mmeguswa Mhina?
Naona imekuuma kutoa Siri zako mtu wa hoja za hovyo naye anapewa majibu yanayofanana na tabia zake
 
"Katika uongozi wangu hakuna shabiki aliyewahi kusema anahitaji katiba, kila shabiki alikuwa anahitaji furaha tu."

"Vivyo hivyo mpaka sasa mashabiki wa Simba wanahitaji furaha bila kuhimiza mchakato wa kuipata hiyo furaha (Katiba)"

"Rage alikuwa sahihi na namuunga mkono kwa kuwaita mashabiki wa Simba Mbumbumbu"

©️ Mwina Seif Kaduguda
Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC.
Ni mashabiki wote tu wa Simba na Yanga. Ni mbumbumbu ndiyo maana walishangilia milioni 5 kutoka kwa TWICE wa FIRST FAMILY kwa kila goli la Yanga na Simba michuano ya Afrika. Jinga sana hawa.
 
Back
Top Bottom