Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu hoja,badala ya kufungua mafaili ya watu,Kila mtu ana faili lake,huenda la kwako chafu Kuliko lake.hata Mashabiki wasiangalia burudani,wachukue uanachama na kuwa na katiba bora.nchi hii Kwa ishu za Katiba,Mbumbumbu ni asilia nyingi.Hivi anayeamua mstakabali wa timu no shabiki au wanachama, yeye ndio mbumbumbu ndio maana Hadi mke wake anampiga.
Yeye si ndio alikuwa anadai pesa za chapati, Taswa alikula pesa za rambirambi au anafikiri watu hawamjui vizuri.
Hahaaa Mambumbumbu. Mwina Kakazia kwa Mzee Rage.Dah Tz kutukanwa On Air ni rahisi kuliko kutukanwa faraghani
Lakini ni kweli Mu Mambumbumbu au?😀😃😄😁Ameshachalala anatafuta namna ya kurudi, historia yake inajulikana vizuri, ni kocha ambaye hajawahi kufundisha timu
We jamaa una machungu sana, Simba yako my wetu ni mdebwedo, jumba bovu lililoanguka chini ya Mangungo!! Simba ni underdog kwasasa!! Msimu ujao utaumia zaidi Mkuu !Heri ya mbumbumbu kuliko nyani mbwa mnabweka bweka hovyo
Hamjui kitu mnazomea zomea tu wazeewa bakuli
Sawa bweka vipo vya kuumiza ila sio mpira bwana mdogoWe jamaa una machungu sana, Simba yako my wetu ni mdebwedo, jumba bovu lililoanguka chini ya Mangungo!! Simba ni underdog kwasasa!! Msimu ujao utaumia zaidi Mkuu !
Mi nilichojifunza bweka bweka kama za nyani na mbwa za mashabiki ndo zinajaza makombe Yanga, Aziz Ki amesema kelele za mashabiki wa Yanga ndo zinampa mzuka sana!!
Hebu cheki Pacome anavyosifiwa na kuimbwa na mashabiki na jinsi anavyoupiga mwingi, yaani mashabiki wa Yanga kwa furaha tuliyonayo inatakiwa tubweke zaidi msimu ujao kama tumbili, nyani, mbwa na paka, mimi ni mmojawao wanaobweka kama nyani!!