rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Ameshachalala anatafuta namna ya kurudi, historia yake inajulikana vizuri, ni kocha ambaye hajawahi kufundisha timuDah, nakumbuka vizuri, ilikua June 2005 nafikiri akawa analalamika hela zake (Elfu 5) aliyowanunulia wachezaji chapati....
Ila 5imba!!
Huu mwaka eeh!Hamjasema bado...
Kumbe ana file zito!Hivi anayeamua mstakabali wa timu no shabiki au wanachama, yeye ndio mbumbumbu ndio maana Hadi mke wake anampiga.
Yeye si ndio alikuwa anadai pesa za chapati, Taswa alikula pesa za rambirambi au anafikiri watu hawamjui vizuri.
Mangungu mitano tena dada yanguHamjasema bado...
Hapana ndg yangu...Mangungu mitano tena dada yangu
Sisi Utopolo tunaungana na Mhina ktk hili"Katika uongozi wangu hakuna shabiki aliyewahi kusema anahitaji katiba, kila shabiki alikuwa anahitaji furaha tu."
"Vivyo hivyo mpaka sasa mashabiki wa Simba wanahitaji furaha bila kuhimiza mchakato wa kuipata hiyo furaha (Katiba)"
"Rage alikuwa sahihi na namuunga mkono kwa kuwaita mashabiki wa Simba Mbumbumbu"
©️ Mwina Seif Kaduguda
Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC.
Unatoa Povu mkuu.. itakuwa kapiga kwenye mfupaHivi anayeamua mstakabali wa timu no shabiki au wanachama, yeye ndio mbumbumbu ndio maana Hadi mke wake anampiga.
Yeye si ndio alikuwa anadai pesa za chapati, Taswa alikula pesa za rambirambi au anafikiri watu hawamjui vizuri.
Nimekumiss mno, nitafute basi jamani my darling sisterHapana ndg yangu...
Unalijua povu au wewe ndio kadugudaUnatoa Povu mkuu.. itakuwa kapiga kwenye mfupa
Nitakutafuta soon my dearest lil bro...si unajua venye nakupenda....Nimekumiss mno, nitafute basi jamani my darling sister
❤️Nitakutafuta soon my dearest lil bro...si unajua venye nakupenda....
Umemshambulia mtoa mada baada ya kushambulia Mada.Unalijua povu au wewe ndio kaduguda
Naona imekuuma kutoa Siri zako mtu wa hoja za hovyo naye anapewa majibu yanayofanana na tabia zakeUmemshambulia mtoa mada baada ya kushambulia Mada.
Anapigwa na mkewe, kala hela za rambirambi, alikuwa anadai hela za chapati.. Hili ni povubkama huuljui
Au wewe ni katika hao Mbumbumbu mmeguswa Mhina?
Acha hasira we ni mtu mzimaUnalijua povu au wewe ndio kaduguda
Ni mashabiki wote tu wa Simba na Yanga. Ni mbumbumbu ndiyo maana walishangilia milioni 5 kutoka kwa TWICE wa FIRST FAMILY kwa kila goli la Yanga na Simba michuano ya Afrika. Jinga sana hawa."Katika uongozi wangu hakuna shabiki aliyewahi kusema anahitaji katiba, kila shabiki alikuwa anahitaji furaha tu."
"Vivyo hivyo mpaka sasa mashabiki wa Simba wanahitaji furaha bila kuhimiza mchakato wa kuipata hiyo furaha (Katiba)"
"Rage alikuwa sahihi na namuunga mkono kwa kuwaita mashabiki wa Simba Mbumbumbu"
©️ Mwina Seif Kaduguda
Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC.