Mwina Seif Kaduguda Simba wa Yuda tunakwenda kukuchukulia fomu ya Uenyekiti Simba Sc

Nyie hata kocha wenu alisema hamna elimu mko kama kima kazi yenu kuzomea zomea tu. Kavaeni vijola kwanza kima nyieView attachment 1648154
Mbona kocha wenu mlivyomtimua aliwaambia kama hivyo au kwasababu umbumbumbu wa elimu ndio mlishindwa kutafsiri. Timu ndani ya miaka 10 inaendeshwa na watu wasiokuwa na elimu hata form 4 leo hii mnajiona mmesoma!
 
Mbona kocha wenu mlivyomtimua aliwaambia kama hivyo au kwasababu umbumbumbu wa elimu ndio mlishindwa kutafsiri. Timu ndani ya miaka 10 inaendeshwa na watu wasiokuwa na elimu hata form 4 leo hii mnajiona mmesoma!
Mwambie yeye aseme elimu yake na aweke ushahidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…