Suzie
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 1,267
- 421
Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani.
Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni ya kishenzi sababu waliokutuma ni washenzi.
Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena
Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni ya kishenzi sababu waliokutuma ni washenzi.
Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena