Mwingira wa EFATHA awaita Viongozi ya Serikali ni washenzi

Mwingira wa EFATHA awaita Viongozi ya Serikali ni washenzi

Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena

Hivi kweli upo kanisani kwa ibada....au upo mithili ya kivuli tu? Ninachoamini, uwapo kwenye ibada huwezi kushika simu au kufanya jambo min'ghairi ya ibada pekee.
 
Hivi kweli upo kanisani kwa ibada....au upo mithili ya kivuli tu? Ninachoamini, uwapo kwenye ibada huwezi kushika simu au kufanya jambo min'ghairi ya ibada pekee.

Ha ha ha ha.....Kwa makanisa kanjanja kila kitu kinawezekana kwa yeye awatiae nguvu....We hujaona watu wanakata mauno huko kwenye hayo makanisa....Wanadai eti hata Daudi alimchezea Mungu mpaka mavazi yakamdondoka...
Hii ni hatari..
 
Lakini kwa nn wasiige mfano wa yesu? Alidhihakiwa na watu walitumwa kum spy na kumkebehi lakini hakuwahi kuwaita washenzi.
Hii imekaaje na anapata wapi ujasiri wa kutukana viongozi wakati hata biblia inasema tiini mamlaka maana kila mamlaka imetoka kwa Mungu..! Yy ni nan na anawafundisha nn kondoo wake ktk hili...?
Ndo maana mm naenda zangu kwa Katunzi pure EAGT hakuna ushenzi kama huu ni injili tu

Umenena vema mkuu ila kama itakupendeza naomba ubadili avator yako. Ubarikiwe
 
Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena

huoni amekuumbua unajileta mtandaoni wakati wa ibada alimaanisha watu kama wewe ndio disaini ya serikali nenda kawambie tena jf;bila aibu unasema unarudi kusikiliza mahubiri shame n u pole usicheze na wapakwa mafuta na s mwingira tu
 
Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena

Badala ya ku concentrate na ibada upo Jf..au wewe ndo spy mwenyewe!!??Wonders shall never end!!
 
Ha ha ha ha....Tunaita uchangudoa wa makanisa..

Hamna shida kama machangudoa hawa wanaleta amani na wala sio vita. Ila imeandikwa mtafute Mungu wako kwa nguvu zako zote
 
Hivi kweli upo kanisani kwa ibada....au upo mithili ya kivuli tu? Ninachoamini, uwapo kwenye ibada huwezi kushika simu au kufanya jambo min'ghairi ya ibada pekee.

Nasoma neno kupitia Ipad yangu mkuu napia lazima ninukuu point maalumu kwenye hii Ipad yangu, hivyo najaribu kushare na familia yetu ya JF. Kuwa na amani hapa ni upako tupu mkuu
 
Tupe tupe udambwidambwi dadaa suzie..wasikusakame hawa ukiona ivo yan we ni genious unaconcentrate kwnye upako at the same time jf..we kichwa tupetupe mamaa suzie
 
Muingira anaongeza kuwa serikali ya Tanzania iliyopo sasa inahitajika kustaafishwa kwa manufaa ya watanzania kutokana na mambo wanayoyafanya likiwemo hili waliloliamua juzi la kurudia kusahihisha upya mitihani ya kidato cha nne

Nimekustukia. WEWE ndiyo utakuwa umetumwa kum-spy! Inakuwaje uko kwenye ibada wewe uko busy kum-report badala ya kutafakari na kumwomba Mungu wako?
 
Lakini kwa nn wasiige mfano wa yesu? Alidhihakiwa na watu walitumwa kum spy na kumkebehi lakini hakuwahi kuwaita washenzi.
Hii imekaaje na anapata wapi ujasiri wa kutukana viongozi wakati hata biblia inasema tiini mamlaka maana kila mamlaka imetoka kwa Mungu..! Yy ni nan na anawafundisha nn kondoo wake ktk hili...?
Ndo maana mm naenda zangu kwa Katunzi pure EAGT hakuna ushenzi kama huu ni injili tu
Nakupa like ya mdomo tu kwa kuwa naww umetukana
 
..au wewe ndo spy mwenyewe!!??Wonders shall never end!!

Hili nililitegemea lingekuwa kwenye comment ya kwanza, nimegundua JF ni GTz tupu sijui wewe umetokea wapi mkuu kumbuka kuconcentrate haimaanishi kumgandishia sura speeker hata ukufanya yako unamuelewa tu. Sio kila anayesoma aelewe ni lazima hapo mahali pawe tulivu, unaweza ukaweka headfon na desa likapanda zaidi ya aliyejituliza Library. Pata neno ulipo
 
Watu wako kwenye ibada wewe unaacha ibada unakuja kuleta maneno ya kishenzi

we ndo spy ulotumwa, tuambie umetumwa na nani?
 
Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena
Kama serikali imeanza kufuatilia haya makampuni ya walanguzi kwenye miavuli ya kanisa basi wamefunguka.
 
Muingira anaongeza kuwa serikali ya Tanzania iliyopo sasa inahitajika kustaafishwa kwa manufaa ya watanzania kutokana na mambo wanayoyafanya likiwemo hili waliloliamua juzi la kurudia kusahihisha upya mitihani ya kidato cha nne

Mkuu suzie ule si ushenz tu ni upumbavu kawaambie waliokutuma na ujinga kwa mnadhimu mkuu wa serikali kudai anarudia kusahihsia ili watu wafaulu china wanachinja kuanzia wazir mpaka msahihishaji aeleze sababu za kufeli kwanza;;Binafsi sio tu kustaafishwa ni kuifukuza kabsa unajua sikuhzi kustaaf dili unarudi madarakan na mkataba;; Binafsi wahuni wanaoingia kanisani na kuacha lkuskkliza neno la Mungu kama wewe na wafukuzia mbali mkuu ;;ndio mnatumwa na magazet ya alhamis;kiwi;wasanii kuchafua kanisa pole nafurah ukondan ya moto ambao hata pinda anautambua na kuuheshimu
 
Hili nililitegemea lingekuwa kwenye comment ya kwanza, nimegundua JF ni GTz tupu sijui wewe umetokea wapi mkuu kumbuka kuconcentrate haimaanishi kumgandishia sura speeker hata ukufanya yako unamuelewa tu. Sio kila anayesoma aelewe ni lazima hapo mahali pawe tulivu, unaweza ukaweka headfon na desa likapanda zaidi ya aliyejituliza Library. Pata neno ulipo

Duuuu..Kazi kweli kweli..Sasa hapo unategemea Mungu aseme na wewe na hayo makorokoro yote sijui aipad
mara jeiefu!!???Huyu Mungu kweli ana kazi.Wokovu wa sasa kweli wa kichina....Kanisa lilikuwa zamani enzi za kina Paulo
 
Lakini kwa nn wasiige mfano wa yesu? Alidhihakiwa na watu walitumwa kum spy na kumkebehi lakini hakuwahi kuwaita washenzi.
Hii imekaaje na anapata wapi ujasiri wa kutukana viongozi wakati hata biblia inasema tiini mamlaka maana kila mamlaka imetoka kwa Mungu..! Yy ni nan na anawafundisha nn kondoo wake ktk hili...?
Ndo maana mm naenda zangu kwa Katunzi pure EAGT hakuna ushenzi kama huu ni injili tu
Unashangaa? Hilo sio kanisa ni umafia tu!!
 
Hivi kweli upo kanisani kwa ibada....au upo mithili ya kivuli tu? Ninachoamini, uwapo kwenye ibada huwezi kushika simu au kufanya jambo min'ghairi ya ibada pekee.

mkuu haya yanaitwa mapepoo Kulyaat yako kila kanisa na akazi zao ndio hizo akirudi nyumban na watoto wanajjiita baba amerudi kanisan naamini hana mke ;else nae anamwangalia anadili na sim wote n makulyaat ni maombi ndio yanawafukuza wamnahamia kanisa lingine
 
Nasoma neno kupitia Ipad yangu mkuu napia lazima ninukuu point maalumu kwenye hii Ipad yangu, hivyo najaribu kushare na familia yetu ya JF. Kuwa na amani hapa ni upako tupu mkuu

suzie mkuu unajua hata majjini yana upako;mapepo yana upako kuwa makini na mtandao wako
 
Back
Top Bottom