Anadai alienda Israel waziri mmoja wa Israel alimwambia akili yake ni nzuri sana akamshauri aje agombee urais lakini akamjibu kuna mtu anatoka cheo cha juu na kugombea cha chini? Anamaanisha Muingira anacheo cha juu zaidi ya rais.
kaka eagt city centre sabasaba viwanjan hapa ndio sehemu ya kuabudu 7bu injili ya pale haijagoshiwa rev katunzi yuko juulakini kwa nn
wasiige mfano wa yesu? Alidhihakiwa na watu walitumwa kum spy na
kumkebehi lakini hakuwahi kuwaita washenzi.
Hii imekaaje na anapata wapi ujasiri wa kutukana viongozi wakati hata
biblia inasema tiini mamlaka maana kila mamlaka imetoka kwa mungu..! Yy
ni nan na anawafundisha nn kondoo wake ktk hili...?
Ndo maana mm naenda zangu kwa katunzi pure eagt hakuna ushenzi kama huu
ni injili tu
kaka eagt city centre sabasaba viwanjan hapa ndio sehemu ya kuabudu 7bu injili ya pale haijagoshiwa rev katunzi yuko juu
nilishawahi kwenda hapo . hayo mahubiri noliyoyaaikia sikuweza kurudi tena. hayakuni bariki kabisa.
Arrogance ini neno niwezalo kutumia kwa mtumishi wa Mungu wa aina hii. Mara nyingi nimemsikia akizungumza with contempt...sijui anakoelekea. Huenda ni mafaniko ya kifedha, sijui ni mafaniko ya kuwa na kanisa kubwa, sijajua anachowaza mpakwa mafuta wa Bwana lakini ni hatari kwa mtumishi wa MUNGU KUFIKA MAHALI PA KUTOCHAGUA NENO LA KUONGEAAnadai alienda Israel waziri mmoja wa Israel alimwambia akili yake ni nzuri sana akamshauri aje agombee urais lakini akamjibu kuna mtu anatoka cheo cha juu na kugombea cha chini? Anamaanisha Muingira anacheo cha juu zaidi ya rais.
kaka eagt city centre sabasaba viwanjan hapa ndio sehemu ya kuabudu 7bu injili ya pale haijagoshiwa rev katunzi yuko juu
MIKONDOO haitulii kwa MCHUNGAJI mmoja inatangatanga, mtakuja kugongwa na gari bure shaur yenu na ikitokea mmeingia kwenye anga zangu NAWACHINJA wote!!!