Mwingira wa EFATHA awaita Viongozi ya Serikali ni washenzi

Sasa Mtu akifanya tabia za kishenzi na akang'amulika huoni huo ni ushenzi unakuwa sifa.Kama unaona ushenzi ni tusi basi achana na kufanya huo ushenzi!
 
Neno "serikali" is too universal...

Hujui kuwa hata shetani ana serikali yake...?

It's obviously, aliyetumwa pia anatoka kwenye hiyo serikali ya kishetani...!!
 
Duh..!!
 
Mi nadhani kama mwigira, aliamuru wanavijiji wakatwe masikio, ilikuwa kwa ni njema tu, ya kuadabishana,,
Huwezi ukakatisha kwenye ardhi ya mtu bila ruhusa na ukaachiwa tu hivi hivi[emoji23]
 
Huyu jamaa mbona maraisi wakiwa waislam anaropoka sana?
 
Washenzi ndiyo, kwani Uongo? Mfano mzuri Sabaya, Makonda, Kingai, Sirro, Mahita, Jerry Muro, Ali Happiness

Washenzi na wahuni tu
 
Ukiona umeanza kuwaelewa Chadema anza matibabu ya akili haraka sana
 
Siyo tu washenz,bali CCM wote ni majibwa Koko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…