Mwingira wa EFATHA awaita Viongozi ya Serikali ni washenzi

Mwingira wa EFATHA awaita Viongozi ya Serikali ni washenzi

kama ni kweli alifanya zinaa, unauhakika gani hajatubu na kuacha, unataka akwambie ww, kwani we ndo unasamehe, Hivi ww ndo unamuamulia Mungu kusamehe? wewe umefanya mangapi na ukasamehewa, au huyo kiongozi wako wa kidini hajawahi kutenda dhambi? Mind u we are humans, and human is to err, tungekua perfect tusinge muhutaji Mungu wala Yesu kabisa, unajua hata kama umefanya dhambi five minutes ago ukatubu kwa Mungu unasamehewa hapo hapo? Sasa mantiki ya wewe kungangania accusation ambazo hazina proof yoyote na ni miaka ilishapita ni nini hasa na ili iweje?

Juzi Mary Msimbila (hawala) Katimuka na sasa mgongano wa Makahaba unaendelea hapo Efatha Benk Unataka kumudanganya nani????????????
 
Umezoea makanisa yanayokiita kijiko eti ni kikombe. Watumishi wengi wa Mungu ni waoga linapokuja suala la kusema ukweli. Sijawahi kusikia mtumishi wa Mungu yeyote anayewaambia ukweli na kwa uwazi bila woga viongozi wa nchi hii kwamba ni mafisadi (washenzi) zaidi ya Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira. J.E. Mwingira ni jasiri, bravo baba!

Ni Kweli Mwingira ni Jasiri lakini hamushindi ujasiri Mzindakaya!!! Hata shetani ni Jasiri!!!
Pia Kitendo cha Mwingira kuzini na mke wa Mwanasheria ni ujasiri mkubwa wa Kishetani!!!
 
kama nisemanyo na nitaendelea kusema, hauna ushahidi na vidhibitisho , hauna sababu ya kutokwa na mapovu ukimhukumu mtu kwa uzushu au your personal issues.
Wewe unasema personal issue pia unasema sina ushahidi ,sasa wewe mwenye ushahidi thibisha kwamba mary Msimbila yupo Efatha!!!
Thibitisha kwamba Mkurungenzi wa efatha ndg Mbele yupo efatha!!!
Thibitisha kwamba Mary siwale yupo Efath!!!

Kwa taarifa yako watu hao wote wametimka wewe umebaki unapiga kelele humu huku huna ushahidi!!!
Wapendwa wenzio waliokopa Efatha wanalalamika hapo !!1 dada zoko wana angamia halafu wewe unalinda uzinzi!!!
 
Wewe unasema personal issue pia unasema sina ushahidi ,sasa wewe mwenye ushahidi thibisha kwamba mary Msimbila yupo Efatha!!!
Thibitisha kwamba Mkurungenzi wa efatha ndg Mbele yupo efatha!!!
Thibitisha kwamba Mary siwale yupo Efath!!!

Kwa taarifa yako watu hao wote wametimka wewe umebaki unapiga kelele humu huku huna ushahidi!!!
Wapendwa wenzio waliokopa Efatha wanalalamika hapo !!1 dada zoko wana angamia halafu wewe unalinda uzinzi!!!

Kwani kutimka ni tatizo, hata huko walikotoka si walitimka pia, kwani walipigiliwa misumari wasitoke pale, kutimka is their own decision, sasa kutimka kwao wewe inakunyekenya kitu gani? kama wamepata maslahi mazuri zaidi si lazima waendelee kuwepo pale, kwenye private organization kutimka mahala ni kawaida sana au ulifikiri pale walilazimishwa kufanya kazi milele, go back to work mbona uko bize sana na Efatha Bank, nawasiwasi you too have personal issues.
 
wewe unasema personal issue pia unasema sina ushahidi ,sasa wewe mwenye ushahidi thibisha kwamba mary msimbila yupo efatha!!!
Thibitisha kwamba mkurungenzi wa efatha ndg mbele yupo efatha!!!
Thibitisha kwamba mary siwale yupo efath!!!

Kwa taarifa yako watu hao wote wametimka wewe umebaki unapiga kelele humu huku huna ushahidi!!!
Wapendwa wenzio waliokopa efatha wanalalamika hapo !!1 dada zoko wana angamia halafu wewe unalinda uzinzi!!!

kiukweli hawa jamaa wana nguvu ya ajabu, ya kuweza kudanganya watu maisha yao yate ,, wamewazidi hata ndugu zao waganga wa kienyeji feki ambao udanganyifu wao hujulikana baada ya mda mfupi.....

HaWA siyo kosa lao ni watu wanaohitaji maombi ya kweli maana macho yao yana ukungu hata uwape somo hawatakuelewa..
 
kama ni kweli alifanya zinaa, unauhakika gani hajatubu na kuacha, unataka akwambie ww, kwani we ndo unasamehe, Hivi ww ndo unamuamulia Mungu kusamehe? wewe umefanya mangapi na ukasamehewa, au huyo kiongozi wako wa kidini hajawahi kutenda dhambi? Mind u we are humans, and human is to err, tungekua perfect tusinge muhutaji Mungu wala Yesu kabisa, unajua hata kama umefanya dhambi five minutes ago ukatubu kwa Mungu unasamehewa hapo hapo? Sasa mantiki ya wewe kungangania accusation ambazo hazina proof yoyote na ni miaka ilishapita ni nini hasa na ili iweje?

Usini quote hayo maneno sijasema mimi bana
 
Sintahukumu. Naendelea kumwomba Mungu. Kwakuwa nina hakika hakuna lililofichika ambalo halitajulikana katika kizazi hiki. Endeleeni kubishana na kutetea msiyoyajua.
 
Uzinzi wa Mfalme Daudi umeandikwa kwenye bible .Mwingira ni nani???
Huwezi kuzuia watu kuanika ukweli!!
Mwingira ameitwa na Askofu Gamanywa baada ya kufanya zinaa na Mwanafunzi aliye enda hapo akakataa !!!
Mwingira ana kiburi!!!
Ana endekeza ngono!!!

Mpaka sasa imesaidia nini baada ya kuandika hayo yote?
Hivi inachukua muda gani mtu kusamehewa baada ya kufanya dhambi ikiwa ametubu? Au umejiridhisha kuwa hawezi akatubu kama kweli alifanya dhambi unazozitaja?

Hivi wewe una neema ya kazi ambayo Apostle Mwingira anayo? Au una hakika washirika wake wooote ni wajinga kuwepo chini ya neema ambayo Mungu amempatia. Kama ni wivu, kwa kweli unao!!! Kazana...
 
Lakin Ponda angesema SERIKALI NO WASHENZI WATU WANGEMWITA GAID,WANGESEMA SERIKALI INAMUOGOPA NA WANGEMWITA MAJINA MENGI YA DHIHAKA,,,,
ILA KASEMA MWINGIRA WATU WANAMUUNGA MKONO NA KUMSIFU KWA MAPAMBIO
 

Mpaka sasa imesaidia nini baada ya kuandika hayo yote?
Hivi inachukua muda gani mtu kusamehewa baada ya kufanya dhambi ikiwa ametubu? Au umejiridhisha kuwa hawezi akatubu kama kweli alifanya dhambi unazozitaja?

Hivi wewe una neema ya kazi ambayo Apostle Mwingira anayo? Au una hakika washirika wake wooote ni wajinga kuwepo chini ya neema ambayo Mungu amempatia. Kama ni wivu, kwa kweli unao!!! Kazana...
mdau una maanisha MWINGIRA ANAYETUKANA MADHABAHUN ANA NEEMA???
 
Usipende kumuhukumu mtu kwa yaliyotokea kale, kama ingekuwa hivyo sijui wewe ungepata hukumu ya namna gani. Pole sana mkuu yaelekea una kinyongo na Mwingira sana jisafishe uanzishe yakwako acha kuhesabu ya wenzako utaachwa ukihesabu mabaya mlango wa mbingu utafungwa ukiwa bado una count tu. Acha kukremisha historia ya mwenzio anza kuiandaa ya kwako mkuu

Suzie ujue ushuhuda alioutoa Mnyasambo unapaswa kuufikiria pia,,,Mwingira ana karama gan hadi yesu amfate GUEST,???Yaan hilo tu unapaswa kuwaza mara mbilimbili...
Yesu amfate akiwa na harufu ya pombe,yupo na kahaba,hehehee
jaman achen masikhara na dini hizi,,,,,
 
Last edited by a moderator:
Katunzi huyu anayeweka matangazo ya Biashara WAPO FM?

umenichekesha sana,siku hiz wachungaj wanaweka matangazo lukuk kwenye redio,na ndio hao hao wanaoweka na namba zao za simu ili wapokee mkwanja wa m-pesa na tigo-pesa
 

Mpaka sasa imesaidia nini baada ya kuandika hayo yote?
Hivi inachukua muda gani mtu kusamehewa baada ya kufanya dhambi ikiwa ametubu? Au umejiridhisha kuwa hawezi akatubu kama kweli alifanya dhambi unazozitaja?

Hivi wewe una neema ya kazi ambayo Apostle Mwingira anayo? Au una hakika washirika wake wooote ni wajinga kuwepo chini ya neema ambayo Mungu amempatia. Kama ni wivu, kwa kweli unao!!! Kazana...
Injili imehubiliwa!!!
Faida ipo Mbele za Mungu!!!
Mtu akifanya dhambi mwambie kuwa hiyo ni dhambi hata kama yeye na wafuasi wake watachukia!!
 
Suzie ujue ushuhuda alioutoa Mnyasambo unapaswa kuufikiria pia,,,Mwingira ana karama gan hadi yesu amfate GUEST,???Yaan hilo tu unapaswa kuwaza mara mbilimbili...
Yesu amfate akiwa na harufu ya pombe,yupo na kahaba,hehehee
jaman achen masikhara na dini hizi,,,,,
Pepo la ngono ndilo liliomfuata na kumpa utume akiwa katika zinaa ndio maana anatumikia pepo hilo hadi sasa!!
 
duuuh,,,MTUME ANAZINI??????

Kabla sijaanza kuchambua ukweli wake napenda kunukuu Sehemu ya kwanza ukurasa wa Kwanza wa Kitabu hichoambapo Nabii na Mtume Mwingira anaeleza jinsi alivyo kutana na mungu wake na kupewa kazi.Mwingira anaanza kusimulia kama ifuatavyo

‘Nakumbuka siku moja nikiwa Mirerani ,huko Arusha, BWANA YESU alinitokea chumbani. Kwa kuwa nilikuwa mzinzi na mlevi niliyebobea, ndiyo kwanza nilikuwa nimetokea kwenye starehe zangu, tayari nikiwa na dada mmoja Kahaba. YEYE Kama nilivyoeleza hapo juu, mimi nilikuwa katika mazingira ambayo hayakuwa mazuri sana kwa sababu nilikuwa katika hali ya ulevi namshiriki wa mambo mengi ya dunia.
Yule dada(kahaba) alipona hali hiyo akakimbia ,nikabaki(Josephati) peke yangu.BWANA YESU akasema, "Mimi ninakutaka wewe uache maovu yote na unitumikie" Baadaye wakati alipotaka kuondoka ,ikanibidi nimshike miguu na kumg'ang'ania, nikamwambia, "usiniache!' Akashuka chini na kunishika bega la mkono wa kulia akasema,'Nitakuwa na wewe! Halafu akatoweka.

Baada ya hapo yakawa yananitokea maono Fulani Fulani ya kutumwa. Mara BWANA YESU alinituma nikawaombee watu Fulani Fulani waokoke au wapone kutokana na magonjwa yao wakati mimi nilikuwa bado sijui kuokoka kilikuwa kitu gain.
Lakini nikawa napata neema ya kwenda kuwaombea na wagonjwa wakawa wanapona.Wakati mwingine BWANA YESU akawa ananitokea katika ndoto au anatuma malaika ambao walikuwa wananielekeza watu wa kwenda kuwaombea uponyaji kutokana na mtatizo yao. Kufikia hapo nikawa hata nikienda kunywa pombe ,nilikuwa naitapika yote. Hama ya pombe ikaisha na nikaichukia moja kwa moja. Baada ya hapo nilikuwa sijui hata kufungua Bibili, ukiachilia mbali kwamba nilikuwa sina Bibilia….' Mwisho wa kunukuu.
 
Back
Top Bottom