Mwingira wa EFATHA awaita Viongozi ya Serikali ni washenzi

Mwingira wa EFATHA awaita Viongozi ya Serikali ni washenzi

Vipi ulisha mpeleka mkeo au dadaako nn? hayo yoote hayana ushahidi, kakobe enzi yake walimzushia saana ooh kuna joka kubwa ofcn kwake, anarubuni watu, yako waapi he is still there to date, remeber No right to condemn unless u have a proof, if u have it put it on the table.[/QUO Kabla sijaanza kuchambua ukweli wake napenda kunukuu Sehemu ya kwanza ukurasa wa Kwanza wa Kitabu hichoambapo Nabii na Mtume Mwingira anaeleza jinsi alivyo kutana na mungu wake na kupewa kazi.Mwingira anaanza kusimulia kama ifuatavyo

‘Nakumbuka siku moja nikiwa Mirerani ,huko Arusha, BWANA YESU alinitokea chumbani. Kwa kuwa nilikuwa mzinzi na mlevi niliyebobea, ndiyo kwanza nilikuwa nimetokea kwenye starehe zangu, tayari nikiwa na dada mmoja Kahaba. YEYE Kama nilivyoeleza hapo juu, mimi nilikuwa katika mazingira ambayo hayakuwa mazuri sana kwa sababu nilikuwa katika hali ya ulevi namshiriki wa mambo mengi ya dunia.
Yule dada(kahaba) alipona hali hiyo akakimbia ,nikabaki(Josephati) peke yangu.BWANA YESU akasema, “Mimi ninakutaka wewe uache maovu yote na unitumikie” Baadaye wakati alipotaka kuondoka ,ikanibidi nimshike miguu na kumg’ang’ania, nikamwambia, “usiniache!’ Akashuka chini na kunishika bega la mkono wa kulia akasema,’Nitakuwa na wewe! Halafu akatoweka.

Baada ya hapo yakawa yananitokea maono Fulani Fulani ya kutumwa. Mara BWANA YESU alinituma nikawaombee watu Fulani Fulani waokoke au wapone kutokana na magonjwa yao wakati mimi nilikuwa bado sijui kuokoka kilikuwa kitu gain.
Lakini nikawa napata neema ya kwenda kuwaombea na wagonjwa wakawa wanapona.Wakati mwingine BWANA YESU akawa ananitokea katika ndoto au anatuma malaika ambao walikuwa wananielekeza watu wa kwenda kuwaombea uponyaji kutokana na mtatizo yao. Kufikia hapo nikawa hata nikienda kunywa pombe ,nilikuwa naitapika yote. Hama ya pombe ikaisha na nikaichukia moja kwa moja. Baada ya hapo nilikuwa sijui hata kufungua Bibili, ukiachilia mbali kwamba nilikuwa sina Bibilia….’ Mwisho wa kunukuu.
TE]
Huyu ndiye Mwingira unaye mtetea wewe!!!!!!

Usipende kumuhukumu mtu kwa yaliyotokea kale, kama ingekuwa hivyo sijui wewe ungepata hukumu ya namna gani. Pole sana mkuu yaelekea una kinyongo na Mwingira sana jisafishe uanzishe yakwako acha kuhesabu ya wenzako utaachwa ukihesabu mabaya mlango wa mbingu utafungwa ukiwa bado una count tu. Acha kukremisha historia ya mwenzio anza kuiandaa ya kwako mkuu
 
Vipi ulisha mpeleka mkeo au dadaako nn? hayo yoote hayana ushahidi, kakobe enzi yake walimzushia saana ooh kuna joka kubwa ofcn kwake, anarubuni watu, yako waapi he is still there to date, remeber No right to condemn unless u have a proof, if u have it put it on the table.[/QUO Kabla sijaanza kuchambua ukweli wake napenda kunukuu Sehemu ya kwanza ukurasa wa Kwanza wa Kitabu hichoambapo Nabii na Mtume Mwingira anaeleza jinsi alivyo kutana na mungu wake na kupewa kazi.Mwingira anaanza kusimulia kama ifuatavyo

‘Nakumbuka siku moja nikiwa Mirerani ,huko Arusha, BWANA YESU alinitokea chumbani. Kwa kuwa nilikuwa mzinzi na mlevi niliyebobea, ndiyo kwanza nilikuwa nimetokea kwenye starehe zangu, tayari nikiwa na dada mmoja Kahaba. YEYE Kama nilivyoeleza hapo juu, mimi nilikuwa katika mazingira ambayo hayakuwa mazuri sana kwa sababu nilikuwa katika hali ya ulevi namshiriki wa mambo mengi ya dunia.
Yule dada(kahaba) alipona hali hiyo akakimbia ,nikabaki(Josephati) peke yangu.BWANA YESU akasema, “Mimi ninakutaka wewe uache maovu yote na unitumikie” Baadaye wakati alipotaka kuondoka ,ikanibidi nimshike miguu na kumg’ang’ania, nikamwambia, “usiniache!’ Akashuka chini na kunishika bega la mkono wa kulia akasema,’Nitakuwa na wewe! Halafu akatoweka.

Baada ya hapo yakawa yananitokea maono Fulani Fulani ya kutumwa. Mara BWANA YESU alinituma nikawaombee watu Fulani Fulani waokoke au wapone kutokana na magonjwa yao wakati mimi nilikuwa bado sijui kuokoka kilikuwa kitu gain.
Lakini nikawa napata neema ya kwenda kuwaombea na wagonjwa wakawa wanapona.Wakati mwingine BWANA YESU akawa ananitokea katika ndoto au anatuma malaika ambao walikuwa wananielekeza watu wa kwenda kuwaombea uponyaji kutokana na mtatizo yao. Kufikia hapo nikawa hata nikienda kunywa pombe ,nilikuwa naitapika yote. Hama ya pombe ikaisha na nikaichukia moja kwa moja. Baada ya hapo nilikuwa sijui hata kufungua Bibili, ukiachilia mbali kwamba nilikuwa sina Bibilia….’ Mwisho wa kunukuu.
TE]
Huyu ndiye Mwingira unaye mtetea wewe!!!!!!

Usipende kumuhukumu mtu kwa yaliyotokea kale, kama ingekuwa hivyo sijui wewe ungepata hukumu ya namna gani. Pole sana mkuu yaelekea una kinyongo na Mwingira sana jisafishe uanzishe yakwako acha kuhesabu ya wenzako utaachwa ukihesabu mabaya mlango wa mbingu utafungwa ukiwa bado una count tu. Acha kukremisha historia ya mwenzio anza kuiandaa ya kwako mkuu
 
Vipi ulisha mpeleka mkeo au dadaako nn? hayo yoote hayana ushahidi, kakobe enzi yake walimzushia saana ooh kuna joka kubwa ofcn kwake, anarubuni watu, yako waapi he is still there to date, remeber No right to condemn unless u have a proof, if u have it put it on the table.[/QUO Kabla sijaanza kuchambua ukweli wake napenda kunukuu Sehemu ya kwanza ukurasa wa Kwanza wa Kitabu hichoambapo Nabii na Mtume Mwingira anaeleza jinsi alivyo kutana na mungu wake na kupewa kazi.Mwingira anaanza kusimulia kama ifuatavyo

‘Nakumbuka siku moja nikiwa Mirerani ,huko Arusha, BWANA YESU alinitokea chumbani. Kwa kuwa nilikuwa mzinzi na mlevi niliyebobea, ndiyo kwanza nilikuwa nimetokea kwenye starehe zangu, tayari nikiwa na dada mmoja Kahaba. YEYE Kama nilivyoeleza hapo juu, mimi nilikuwa katika mazingira ambayo hayakuwa mazuri sana kwa sababu nilikuwa katika hali ya ulevi namshiriki wa mambo mengi ya dunia.
Yule dada(kahaba) alipona hali hiyo akakimbia ,nikabaki(Josephati) peke yangu.BWANA YESU akasema, “Mimi ninakutaka wewe uache maovu yote na unitumikie” Baadaye wakati alipotaka kuondoka ,ikanibidi nimshike miguu na kumg’ang’ania, nikamwambia, “usiniache!’ Akashuka chini na kunishika bega la mkono wa kulia akasema,’Nitakuwa na wewe! Halafu akatoweka.

Baada ya hapo yakawa yananitokea maono Fulani Fulani ya kutumwa. Mara BWANA YESU alinituma nikawaombee watu Fulani Fulani waokoke au wapone kutokana na magonjwa yao wakati mimi nilikuwa bado sijui kuokoka kilikuwa kitu gain.
Lakini nikawa napata neema ya kwenda kuwaombea na wagonjwa wakawa wanapona.Wakati mwingine BWANA YESU akawa ananitokea katika ndoto au anatuma malaika ambao walikuwa wananielekeza watu wa kwenda kuwaombea uponyaji kutokana na mtatizo yao. Kufikia hapo nikawa hata nikienda kunywa pombe ,nilikuwa naitapika yote. Hama ya pombe ikaisha na nikaichukia moja kwa moja. Baada ya hapo nilikuwa sijui hata kufungua Bibili, ukiachilia mbali kwamba nilikuwa sina Bibilia….’ Mwisho wa kunukuu.
TE]
Huyu ndiye Mwingira unaye mtetea wewe!!!!!!

Sasa hapo cha ajabu kitu gani, alikua dhambini lakini bwana aakamwita toka dhambini, hebu angalia mifano kwenye bible zakayo tax man na mchakachuaji, cheki Apostal Paul alikua anatesa wakristo, Mungu hua hachaguliwi mtu anaetaka amtumikie.
 
Lakini kwa nn wasiige mfano wa yesu? Alidhihakiwa na watu walitumwa kum spy na kumkebehi lakini hakuwahi kuwaita washenzi.
Hii imekaaje na anapata wapi ujasiri wa kutukana viongozi wakati hata biblia inasema tiini mamlaka maana kila mamlaka imetoka kwa Mungu..! Yy ni nan na anawafundisha nn kondoo wake ktk hili...?
Ndo maana mm naenda zangu kwa Katunzi pure EAGT hakuna ushenzi kama huu ni injili tu

Una hakika? humjui Yesu wewe!
 
Kwa hiyo wewe ni kama mwandishi wa habari? Soma maandishi mekundu hapo juu. Tunaambiwa ukiwa na neno na mtu uende ukazungumze naye. Hapa unatueleza mambo ambayo uliambiwa na watu.

Ni bora ukamshauri Mbuya atuandikie mwenyewe.

Wewe na wenzako wote hamna authority kuandika jambo la mtu mwingine. Nadhani mnataka kumchafua Mtumishi wa Mungu.
Be gone...
 
Vijana wa usalama wa taifa wamesambazwa kila makanisa kusikiliza mahubiri ya uchochezi...wanalinda serekalihii ya kiislam.
 
Ha! Ha!ha!....... umbea bwana... hata kilicho kupeleka huko haujui
 
Usipende kumuhukumu mtu kwa yaliyotokea kale, kama ingekuwa hivyo sijui wewe ungepata hukumu ya namna gani. Pole sana mkuu yaelekea una kinyongo na Mwingira sana jisafishe uanzishe yakwako acha kuhesabu ya wenzako utaachwa ukihesabu mabaya mlango wa mbingu utafungwa ukiwa bado una count tu. Acha kukremisha historia ya mwenzio anza kuiandaa ya kwako mkuu
1.Tukio la Mke wa Mchungaji wake Rukwa ni la Kale??
2.Tukio la Mke wa Mbuya ni la kale??
3.Tukio la yule Dkt anayeishi Kibaha ni la kale??
4.Tukio la mwimba kwaya anaye ishi kawe ni la kale??

Hii ni zaidi ya Sodoma!!!
.
 
Kwa hiyo wewe ni kama mwandishi wa habari? Soma maandishi mekundu hapo juu. Tunaambiwa ukiwa na neno na mtu uende ukazungumze naye. Hapa unatueleza mambo ambayo uliambiwa na watu.

Ni bora ukamshauri Mbuya atuandikie mwenyewe.

Wewe na wenzako wote hamna authority kuandika jambo la mtu mwingine. Nadhani mnataka kumchafua Mtumishi wa Mungu.
Be gone...
Uzinzi wa Mfalme Daudi umeandikwa kwenye bible .Mwingira ni nani???
Huwezi kuzuia watu kuanika ukweli!!
Mwingira ameitwa na Askofu Gamanywa baada ya kufanya zinaa na Mwanafunzi aliye enda hapo akakataa !!!
Mwingira ana kiburi!!!
Ana endekeza ngono!!!
 
Sasa hapo cha ajabu kitu gani, alikua dhambini lakini bwana aakamwita toka dhambini, hebu angalia mifano kwenye bible zakayo tax man na mchakachuaji, cheki Apostal Paul alikua anatesa wakristo, Mungu hua hachaguliwi mtu anaetaka amtumikie.
Mwingira alikuwa katika dhambi ya zinaa na bado yupo katika tope hilo hilo la zinaa
 
Usipende kumuhukumu mtu kwa yaliyotokea kale, kama ingekuwa hivyo sijui wewe ungepata hukumu ya namna gani. Pole sana mkuu yaelekea una kinyongo na Mwingira sana jisafishe uanzishe yakwako acha kuhesabu ya wenzako utaachwa ukihesabu mabaya mlango wa mbingu utafungwa ukiwa bado una count tu. Acha kukremisha historia ya mwenzio anza kuiandaa ya kwako mkuu
Mwingira akiacha zinaa na kutubu ndipo itakuwa history na Mungu atamtetea !!!
We angalia anavyotesa akina dada hapo!!!
 
hayo ndo yaitwa mahubiri-mipasho kama ndo umetumwa mbona unasutwa
 
Ngoja niwaambie hata siku moja hamna haki ya kisheria yakuhukumu watumishi wa bwana. naona wote nyie kama munajiita wa kristo basi mwajiita hv ila hamu qualify. na kma ni ndugu zangu wa islam siwezi kuwalaumu kwasbb hawajuwi kilicho kwenye bible.
 
Anadai alienda Israel waziri mmoja wa Israel alimwambia akili yake ni nzuri sana akamshauri aje agombee urais lakini akamjibu kuna mtu anatoka cheo cha juu na kugombea cha chini? Anamaanisha Muingira anacheo cha juu zaidi ya rais.
Hiyo kauli nimewahi kuiona kwenye Runinga ya TRENET.
 
Ngoja niwaambie hata siku moja hamna haki ya kisheria yakuhukumu watumishi wa bwana. naona wote nyie kama munajiita wa kristo basi mwajiita hv ila hamu qualify. na kma ni ndugu zangu wa islam siwezi kuwalaumu kwasbb hawajuwi kilicho kwenye bible.
Kwa hiyo ili u-qualify kuwa mkristo bora uwe unatukana watu washenzi au uwe unaunga mkono matusi?

Ungekuwa una hoja nzito ungelipinga hilo lililoletwa hapa kwa ushahidi.
 
Mwingira akiacha zinaa na kutubu ndipo itakuwa history na Mungu atamtetea !!!
We angalia anavyotesa akina dada hapo!!!

kama ni kweli alifanya zinaa, unauhakika gani hajatubu na kuacha, unataka akwambie ww, kwani we ndo unasamehe, Hivi ww ndo unamuamulia Mungu kusamehe? wewe umefanya mangapi na ukasamehewa, au huyo kiongozi wako wa kidini hajawahi kutenda dhambi? Mind u we are humans, and human is to err, tungekua perfect tusinge muhutaji Mungu wala Yesu kabisa, unajua hata kama umefanya dhambi five minutes ago ukatubu kwa Mungu unasamehewa hapo hapo? Sasa mantiki ya wewe kungangania accusation ambazo hazina proof yoyote na ni miaka ilishapita ni nini hasa na ili iweje?
 
Umezoea makanisa yanayokiita kijiko eti ni kikombe. Watumishi wengi wa Mungu ni waoga linapokuja suala la kusema ukweli. Sijawahi kusikia mtumishi wa Mungu yeyote anayewaambia ukweli na kwa uwazi bila woga viongozi wa nchi hii kwamba ni mafisadi (washenzi) zaidi ya Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira. J.E. Mwingira ni jasiri, bravo baba!
 
Back
Top Bottom