Yousuph Mgeleka
Member
- Jan 27, 2013
- 51
- 23
Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena
Hivi kweli upo kanisani kwa ibada....au upo mithili ya kivuli tu? Ninachoamini, uwapo kwenye ibada huwezi kushika simu au kufanya jambo min'ghairi ya ibada pekee.
Lakini kwa nn wasiige mfano wa yesu? Alidhihakiwa na watu walitumwa kum spy na kumkebehi lakini hakuwahi kuwaita washenzi.
Hii imekaaje na anapata wapi ujasiri wa kutukana viongozi wakati hata biblia inasema tiini mamlaka maana kila mamlaka imetoka kwa Mungu..! Yy ni nan na anawafundisha nn kondoo wake ktk hili...?
Ndo maana mm naenda zangu kwa Katunzi pure EAGT hakuna ushenzi kama huu ni injili tu
Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena
Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena
Hivi kweli upo kanisani kwa ibada....au upo mithili ya kivuli tu? Ninachoamini, uwapo kwenye ibada huwezi kushika simu au kufanya jambo min'ghairi ya ibada pekee.
Muingira anaongeza kuwa serikali ya Tanzania iliyopo sasa inahitajika kustaafishwa kwa manufaa ya watanzania kutokana na mambo wanayoyafanya likiwemo hili waliloliamua juzi la kurudia kusahihisha upya mitihani ya kidato cha nne
Nakupa like ya mdomo tu kwa kuwa naww umetukanaLakini kwa nn wasiige mfano wa yesu? Alidhihakiwa na watu walitumwa kum spy na kumkebehi lakini hakuwahi kuwaita washenzi.
Hii imekaaje na anapata wapi ujasiri wa kutukana viongozi wakati hata biblia inasema tiini mamlaka maana kila mamlaka imetoka kwa Mungu..! Yy ni nan na anawafundisha nn kondoo wake ktk hili...?
Ndo maana mm naenda zangu kwa Katunzi pure EAGT hakuna ushenzi kama huu ni injili tu
..au wewe ndo spy mwenyewe!!??Wonders shall never end!!
Kama serikali imeanza kufuatilia haya makampuni ya walanguzi kwenye miavuli ya kanisa basi wamefunguka.Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena
Muingira anaongeza kuwa serikali ya Tanzania iliyopo sasa inahitajika kustaafishwa kwa manufaa ya watanzania kutokana na mambo wanayoyafanya likiwemo hili waliloliamua juzi la kurudia kusahihisha upya mitihani ya kidato cha nne
Hili nililitegemea lingekuwa kwenye comment ya kwanza, nimegundua JF ni GTz tupu sijui wewe umetokea wapi mkuu kumbuka kuconcentrate haimaanishi kumgandishia sura speeker hata ukufanya yako unamuelewa tu. Sio kila anayesoma aelewe ni lazima hapo mahali pawe tulivu, unaweza ukaweka headfon na desa likapanda zaidi ya aliyejituliza Library. Pata neno ulipo
Unashangaa? Hilo sio kanisa ni umafia tu!!Lakini kwa nn wasiige mfano wa yesu? Alidhihakiwa na watu walitumwa kum spy na kumkebehi lakini hakuwahi kuwaita washenzi.
Hii imekaaje na anapata wapi ujasiri wa kutukana viongozi wakati hata biblia inasema tiini mamlaka maana kila mamlaka imetoka kwa Mungu..! Yy ni nan na anawafundisha nn kondoo wake ktk hili...?
Ndo maana mm naenda zangu kwa Katunzi pure EAGT hakuna ushenzi kama huu ni injili tu
Hivi kweli upo kanisani kwa ibada....au upo mithili ya kivuli tu? Ninachoamini, uwapo kwenye ibada huwezi kushika simu au kufanya jambo min'ghairi ya ibada pekee.
Badala ya ku concentrate na ibada upo Jf..au wewe ndo spy mwenyewe!!??Wonders shall never end!!
Nasoma neno kupitia Ipad yangu mkuu napia lazima ninukuu point maalumu kwenye hii Ipad yangu, hivyo najaribu kushare na familia yetu ya JF. Kuwa na amani hapa ni upako tupu mkuu