Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
- Thread starter
- #61
Jitahidi sana upunguze ukubwa wa serikali yako
Hili litasaidia sana kubana matumizi ya serikali yako na hivyo basi utaokoa fedha nyingi sana za serikali ambazo zingeweza kutumika bila mpangilio na hii itakuwezesha kugharimia miradi mbalimbali ya serikali kama maji, barabara, umeme, afya, elimu.
Boresha mfumo wa Tehama kuzuia safari za hovyo za viongozi zinazotumia mabilioni ya shilingi za kitanzania
kwa mfano viongozi wakuu wa serikali wanaweza kuwasiliana na viongozi wa chini kwa njia za tehama na hii itapunguza kwa kiwango kikubwa sana matumizi ya hovyo ya serikali na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi
kipaumbele chako cha
1.kubana matumizi
2.kubana matumizi
3.kubana matumizi
4.kubana matumizi
NITAENDELEA KUKUSHAURI NINI CHA KUFANYA KILA SIKU MPAKA MWAKA KESHO NITAKUWA NIMEANDIKA KURASA 250.
Hili litasaidia sana kubana matumizi ya serikali yako na hivyo basi utaokoa fedha nyingi sana za serikali ambazo zingeweza kutumika bila mpangilio na hii itakuwezesha kugharimia miradi mbalimbali ya serikali kama maji, barabara, umeme, afya, elimu.
Boresha mfumo wa Tehama kuzuia safari za hovyo za viongozi zinazotumia mabilioni ya shilingi za kitanzania
kwa mfano viongozi wakuu wa serikali wanaweza kuwasiliana na viongozi wa chini kwa njia za tehama na hii itapunguza kwa kiwango kikubwa sana matumizi ya hovyo ya serikali na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi
kipaumbele chako cha
1.kubana matumizi
2.kubana matumizi
3.kubana matumizi
4.kubana matumizi
NITAENDELEA KUKUSHAURI NINI CHA KUFANYA KILA SIKU MPAKA MWAKA KESHO NITAKUWA NIMEANDIKA KURASA 250.