Pre GE2025 Mwinyi kugombea Urais wa JMT mwaka 2025 makamu wake kuwa Dkt. Titus Mlengeya Kamani

Pre GE2025 Mwinyi kugombea Urais wa JMT mwaka 2025 makamu wake kuwa Dkt. Titus Mlengeya Kamani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jitahidi sana upunguze ukubwa wa serikali yako
Hili litasaidia sana kubana matumizi ya serikali yako na hivyo basi utaokoa fedha nyingi sana za serikali ambazo zingeweza kutumika bila mpangilio na hii itakuwezesha kugharimia miradi mbalimbali ya serikali kama maji, barabara, umeme, afya, elimu.

Boresha mfumo wa Tehama kuzuia safari za hovyo za viongozi zinazotumia mabilioni ya shilingi za kitanzania
kwa mfano viongozi wakuu wa serikali wanaweza kuwasiliana na viongozi wa chini kwa njia za tehama na hii itapunguza kwa kiwango kikubwa sana matumizi ya hovyo ya serikali na kuokoa pesa nyingi za walipa kodi

kipaumbele chako cha
1.kubana matumizi
2.kubana matumizi
3.kubana matumizi
4.kubana matumizi

NITAENDELEA KUKUSHAURI NINI CHA KUFANYA KILA SIKU MPAKA MWAKA KESHO NITAKUWA NIMEANDIKA KURASA 250.
 
Ufala uache

Bando hutununuli wewe😟🤔🥺




























😁😁😁😁
 
Ni Habari njema watanzania ni kikao cha wajuvi wa mambo kilikaaa sirini toka Magufuli afariki Dunia ikawa kwamba Samia ni nahodha tu anyeivusha meli upande wa pili wa pili baada ya Nahodha mkubwa kutangulia mbele za haki

Isingewezekana Samia kuendelea kuwa Rais wa JMT Kwa sababu yeye ni miongoni mwa wanaodhaniwa kuwa kwenye kundi linalobeba watu fulani hivyo basi akiendelea kutawala Kuna mgawanyiko mkubwa Sana utatokea kwenye chama na nchi ambao utakuja kukipasua chama na nchi vipande vipande

kwa nini Mwinyi?
Mwinyi aliandaliwa mapema sna kulingna na kariba yake ya kutokuwa na kundi kwa sababu yeye ni mtu makini anayetenda haki na anaaminika Sana na ni mtulivu wa kiwango cha Hali ya juu hivyo basi Rais mwinyi atakuwa kiunganishi mkubwa wa nchi, chama na serikali.
Hizi kauli ndo zinatuchelewesha kama Taifa!
Mchakato wa kugombea uwe wa wazi... Wenye Nia wajitokeze wafanyiwe vetting rasmi na wananchi wahoji dhamira zao.
Haya ya viongozi kuandaliwa sirini huko kusikojulikana tuondokane nayo!
Wasiomtaka huyo mnayemtaka nao wasikilize!
 
Dr Titus mrudisheni kule TANAPA kikosi cha ushauri mnajenga hovyo hovyo mahoteli huko mbugani mpaka wanyama wanakosa FARAGHA !!!
Inasikitisha sana! Yaani wamegawa vitalu na plots kila Kona hifadhini. Na vinavyojengwa havina uhusiano na mandhari wala malengo ya Tuhifadhi!
 
Ni Habari njema watanzania ni kikao cha wajuvi wa mambo kilikaaa sirini toka Magufuli afariki Dunia ikawa kwamba Samia ni nahodha tu anyeivusha meli upande wa pili wa pili baada ya Nahodha mkubwa kutangulia mbele za haki

Isingewezekana Samia kuendelea kuwa Rais wa JMT Kwa sababu yeye ni miongoni mwa wanaodhaniwa kuwa kwenye kundi linalobeba watu fulani hivyo basi akiendelea kutawala Kuna mgawanyiko mkubwa Sana utatokea kwenye chama na nchi ambao utakuja kukipasua chama na nchi vipande vipande

kwa nini Mwinyi?
Mwinyi aliandaliwa mapema sna kulingna na kariba yake ya kutokuwa na kundi kwa sababu yeye ni mtu makini anayetenda haki na anaaminika Sana na ni mtulivu wa kiwango cha Hali ya juu hivyo basi Rais mwinyi atakuwa kiunganishi mkubwa wa nchi, chama na serikali.
Mbona mapema jamani,mshaanza kumkataa mama.
 
Back
Top Bottom