Mwinyi Mkuu Katundu atekwa na wanaodaiwa kuwa wanausalama, hajulikani alipo. Huu ni mtihani wa kwanza kwa Diwani Athuman

Mwinyi Mkuu Katundu atekwa na wanaodaiwa kuwa wanausalama, hajulikani alipo. Huu ni mtihani wa kwanza kwa Diwani Athuman

Hati ya kusafiria kwani sh ngapi?
Ni sh 150000 tu
Yaani unahukumu uhalifu wa mtu kwa muonekano?,
Ina maana Waislamu wote wenye muonekano wa Ibada wote ni magaidi?
Acheni unyanyapaa kwa binadamu wenzenu, Ni ukatili huo
Umeenda mbali sana. Mimi mawazo yangu kwingine kabisa. Hata ugaidi sijawaza. Soma post yangu vizuri itafakari.
 
Imetajwa kuwa watekaji walikuwa na silaha za moto. Ungelikuwa wewe ungefwata mkia? Hayo mambo sikia yakitokea kwa wengine usiombe yakukute.
Kwa hiyo sasa hivi hawana silaha? Kufuatilia ni haki yenu. Haya sasa wamekana kuhusika mnaanzia wapi?
 
Serikali ina shughulikia hilo swala ndio maana kila RAIA ana amani, huku pia tukifatilia kupata taarifa ya yanayo jili... Tuna ndg wapo msumbiji mtwara nk...

Ila kuna ishu zingine hazitolewi taatifa yoyote ndio ukakasi wa RAIA una anza hapo na kuona kuna tatizo

Watanzania sio wajinga...
Si kila kitu lazima watoe taarifa kwa umma..!
 
Back
Top Bottom