Serikali ina shughulikia hilo swala ndio maana kila RAIA ana amani, huku pia tukifatilia kupata taarifa ya yanayo jili... Tuna ndg wapo msumbiji mtwara nk...
Ila kuna ishu zingine hazitolewi taatifa yoyote ndio ukakasi wa RAIA una anza hapo na kuona kuna tatizo
Watanzania sio wajinga...