mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Nchi hii inaongoza kwa unafiki duniani.....huyu huyu Zahera ambaye alikuwa anatukanwa 24/7,hadi press conference zilikuwa zinaitishwa kwasababu yake......wanasiasa, viongozi wa michezo pamoja na mashabiki wanaishi kwa unafiki.....ni ngumu kusogea kwa huu ujinga....anywei bila shaka mtamshonea Suluari za kuvaa
Nchi ya kinafiki sana hii, eti uwezo wa kazi🤣🤣Tunaangalia uwezo wake wa KAZI
Sio UTANI WA JADI
Uyu jamaa anaenda kuisambaratisha SIMBAKupitia ukurasa wa Instagram wa Msemaji wa Mabingwa wa Nchi, Haji Sunday Manara leo saa sita mchana kuna tukio kubwa la ugeni kutangazwa.
Tetesi zinasema anaweza akawa anatangazwa Papaa Mwinyi Zahera ila haijajulikana ni nafasi gani atapewa klabuni
Stay tuned...
View attachment 1757789
Mikia mnachotaka kumtumia zahera kipindi hiki sbb ya usajili wa makambo ambao Yanga wana 80% za kumrudisha kwa kuvunja mkataba wake kule horoya,za chini ya kapeti mikia washapita njia za panya wanamtaka kwa mkopo,njia ya kumshawishi ndio huyo zahera,kwa taarifa yenu Yanga tukimkosa makambo tunaenda kwa jesse wereZahera anawajua wachezaji wengi ila ni dalali mnòo.
Naomba maelezo ya kina ni mkataba au makubaliano katika nyanja zipi baina yao.Simba vs vunja bei!! Hahahahaahaha hatari sana
Vunjabei group wameingia mkataba na club ya simba wa kuzalisha na kusambaza jezi za club!!Naomba maelezo ya kina ni mkataba au makubaliano katika nyanja zipi baina yao.
Duh.!Vunjabei ndio watakuwa watengenezaji na wasambazaji wa jezi zetu, mkataba ni wa miaka 2, manake vijana wametoa bilioni mbili na kuwashinda wengine 11!!
Tutafute pesa kwakweli
Ni ndogo?Duh.!
2 B .?
Lini ameshawahi kutengeneza jezi mpaka akaqualify kushinda zabuni hio? Jezi zikiwa mbaya sijui watamlaumu naniVunjabei ndio watakuwa watengenezaji na wasambazaji wa jezi zetu, mkataba ni wa miaka 2, manake vijana wametoa bilioni mbili na kuwashinda wengine 11!!
Tutafute pesa kwakweli
Kwani jezi ya lipuli na KMC anatengeneza nani, ulizia mkuuLini ameshawahi kutengeneza jezi mpaka akaqualify kushinda zabuni hio? Jezi zikiwa mbaya sijui watamlaumu nani
Usidhani viongozi ni vilaza, wanajua wanachokifanyaLini ameshawahi kutengeneza jezi mpaka akaqualify kushinda zabuni hio? Jezi zikiwa mbaya sijui watamlaumu nani
Ahaa! Sawa. Ni kampuni gani nyingine 11 zilikuwa katika kuwania zabuni hii?Vunjabei group wameingia mkataba na club ya simba wa kuzalisha na kusambaza jezi za club!!
Mkataba huo thamani yake ni billion 2 , hapo sasa uhl sport hawatohusika tena
Bongo!Kwani jezi ya lipuli na KMC anatengeneza nani, ulizia mkuu
Za lipuli zimeanza mwaka jana na je quality?Kwani jezi ya lipuli na KMC anatengeneza nani, ulizia mkuu
Mwanzo wa mwishoNafasi za kazi simba bado zipo nyingi sana ukiachana na department ya soka kuna uhaba wa wapishi so tutam consider zahera kwa hilo.
Kofi olomide anaishi ufaransa(Paris),huwezi amini kilasiku yupo na nandy bongohapa mzee....mashairi yanatungwa hayaishi..sembuse mwinyiSiwezi kupanic.......sioni jipya ambalo Mwinyi anaweza kuoffer na kuwa scout wa kuwaletea wachezaji vijana, wakati kila siku alikuwa anajitapa kuwa anaishi ufaransa......anyway kupanga ni kuchagua