mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Tunaangalia uwezo wake wa KAZI
Sio UTANI WA JADI
Sio UTANI WA JADI
Nchi hii inaongoza kwa unafiki duniani.....huyu huyu Zahera ambaye alikuwa anatukanwa 24/7,hadi press conference zilikuwa zinaitishwa kwasababu yake......wanasiasa, viongozi wa michezo pamoja na mashabiki wanaishi kwa unafiki.....ni ngumu kusogea kwa huu ujinga....anywei bila shaka mtamshonea Suluari za kuvaa