Mwisho mbaya wa aliyekuwa Rais wa Sierra, Leone Valentine Esegragbo Melvine Strasser

Kwa kweli kama huyu ndo alikuwa babayako, na ndo unasikia hiyo story Dingi alikuwa presda,kwa sasa anaishi maisha hayo duu...nitamlaumu sana, waliowahi kuwa mawaziri wakuu na marais barani Afrika wote mabilionea, na walipoupata utajiri wao?....hiyo ipo waziii.
 
Aisee! Kweli hakuna aijuaye kesho...
 
Pia alikua shabiki wa Bob Male.
Kumbukumbu ya kuzaliwa Bob yeye aliweka siku ya mapunziko kwa taifa lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…