mbona poa tu na midevu yetu ,huwa tunaitumia wakati wa kufikiri ,kucheza na wajukuu zetu,hata mama watoto akitaka kitu huniomba huku akizivutavuta basi nakuwa mpole tu !na siku nyingine swahiba wangu hamduni akinitembelea watoto huzifunga zangu na za swahiba pamoja na kuzifanya pembea wakati sisi tuko kwenye mazungumzo!