Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kuna yule mwenye rasta Richard nadhaniWengi wana kuwa wapo kwenye ujana 20s alafu paaaap 200mil hizi hapa
Pia idris walimpuna hela
Na huyo mwampwamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna yule mwenye rasta Richard nadhaniWengi wana kuwa wapo kwenye ujana 20s alafu paaaap 200mil hizi hapa
Kama ni pesa za big brother basi ziliisha yeye mwenyewe aliwahi kukiri akihojiwa fatiliaHuwa namuona Idriss Sultan anaendesha Fortuner, au huwa ni ya kuazima?
Ila mimi huwa nahisi hizo pesa huwa wanagawana kisili sili na walio wapa dili ya kuwapeleka.Kama ni pesa za big brother basi ziliisha yeye mwenyewe aliwahi kukiri akihojiwa fatilia
Yeye alitumia jina lake mapema kabla hajasahaulika mjini ukiwemo.u mc na uchekeshaji pia mambo ya graphics design anaweza ndiyo maana halali njaa
Ndiyo ukweliIla mimi huwa nahisi hizo pesa huwa wanagawana kisili sili na walio wapa dili ya kuwapeleka.
Ok.Kama ni pesa za big brother basi ziliisha yeye mwenyewe aliwahi kukiri akihojiwa fatilia
Yeye alitumia jina lake mapema kabla hajasahaulika mjini ukiwemo.u mc na uchekeshaji pia mambo ya graphics design anaweza ndiyo maana halali njaa
Hata mimi ningekuomba haiwEzekani nakula matembele alafu wewe una party namna hiiNdiyo ukweli
Sababu haijawahi kujulikana vigezo vya kupata washiriki kuwapeleka ni vipi?
Hapo anayewapa connection naye ana commission yake
Kama huyo Richard kuna time alipata skendo ya kula wali samaki wa buku saba yeye akawa na buku nne..!
Mule ilikuwa uzinzi tu kipindi cha kimalayaHata mimi ningekuomba haiwEzekani nakula matembele alafu wewe una party namna hii
View attachment 3157938
😂Mwamba umezaliwa 2002 nini??
HahahhahaHalafu jf na yenyewe watu waongo waongo sana nimeskiliza interview hapa jamaa kasema ameacha pombe na sigara toka 2019 lakini kuna mwamba kasema hapa eti mwisho saiz anagongea konyagi kitaa kwamba ana zulula tu now😆😆
Ni mtoto wa kaka yake anamuita Mwisho baba mdogoYule dogo Rakim Mwampamba wa instagram sio ndugu yake kweli?