Mwisho Mwampamba: Vyombo vya habari viliniandika kwa uongo, hakuna pesa yoyote niliyoshinda kwahio sio kweli eti nilifirisika

Mwisho Mwampamba: Vyombo vya habari viliniandika kwa uongo, hakuna pesa yoyote niliyoshinda kwahio sio kweli eti nilifirisika

😁😁
Ni kawaida tu yani ni sawa na mtu atoke kwenye familia maskini halafu akapata kizuri kiasi milioni hazisumbui. Huwa ni kama wanarukwa na kichaa kwa hizo fantasies
Umesema sahihi

Unakumbuka ishu ya Liyumba yule jamaa wa BOT?

Alihakikisha anakula pussy zote classic za town kisha kuzihonga gari miaka ile

Hizo ndiyo fantasy zetu Wanaume wengi Duniani na Tanzania Kwa ujumla 🤗
 
Umesema sahihi

Unakumbuka ishu ya Liyumba yule jamaa wa BOT?

Alihakikisha anakula pussy zote classic za town kisha kuzihonga gari miaka ile

Hizo ndiyo fantasy zetu Wanaume wengi Duniani na Tanzania Kwa ujumla 🤗
Tanzania, Africa, latinas na Asians baadhi ni kisanga zaidi 😁😁😁

Ila pesa huja na mengi ndio maana namuomba Mungu siku nikizifuma. Zile fantasies na tabia toxic zisikomae zaidi
 
Ujana maji ya moto ,kwasasa kwishney kemcho amdatabati ndiyo anakumbuka.

Angeitumia vizuri hiyo title angeingiza pesa nyingi kuliko zawadi ya ushindi hiyo aliyokosa milioni 100.
 
Back
Top Bottom