Mwisho Mwampamba: Vyombo vya habari viliniandika kwa uongo, hakuna pesa yoyote niliyoshinda kwahio sio kweli eti nilifirisika

Huwa namuona Idriss Sultan anaendesha Fortuner, au huwa ni ya kuazima?
Kama ni pesa za big brother basi ziliisha yeye mwenyewe aliwahi kukiri akihojiwa fatilia

Yeye alitumia jina lake mapema kabla hajasahaulika mjini ukiwemo.u mc na uchekeshaji pia mambo ya graphics design anaweza ndiyo maana halali njaa
 
Kama ni pesa za big brother basi ziliisha yeye mwenyewe aliwahi kukiri akihojiwa fatilia

Yeye alitumia jina lake mapema kabla hajasahaulika mjini ukiwemo.u mc na uchekeshaji pia mambo ya graphics design anaweza ndiyo maana halali njaa
Ila mimi huwa nahisi hizo pesa huwa wanagawana kisili sili na walio wapa dili ya kuwapeleka.
 
Ila mimi huwa nahisi hizo pesa huwa wanagawana kisili sili na walio wapa dili ya kuwapeleka.
Ndiyo ukweli
Sababu haijawahi kujulikana vigezo vya kupata washiriki kuwapeleka ni vipi?

Hapo anayewapa connection naye ana commission yake
Kama huyo Richard kuna time alipata skendo ya kula wali samaki wa buku saba yeye akawa na buku nne..!
 
Kama ni pesa za big brother basi ziliisha yeye mwenyewe aliwahi kukiri akihojiwa fatilia

Yeye alitumia jina lake mapema kabla hajasahaulika mjini ukiwemo.u mc na uchekeshaji pia mambo ya graphics design anaweza ndiyo maana halali njaa
Ok.
 
Ndiyo ukweli
Sababu haijawahi kujulikana vigezo vya kupata washiriki kuwapeleka ni vipi?

Hapo anayewapa connection naye ana commission yake
Kama huyo Richard kuna time alipata skendo ya kula wali samaki wa buku saba yeye akawa na buku nne..!
Hata mimi ningekuomba haiwEzekani nakula matembele alafu wewe una party namna hii
 
Baada ya kufuatilia interview nzima(part 1 - 3 )ya mwisho mwampamba nimekuja kugundua jamaa ni mtu poa sana tena sana, halafu ni mtu anaejielewa kuliko mastaa wengi wa kibongo.

Ukisikiliza interview ya mwisho(part 3) ameongea mengi sana hasa changamoto mwanaume anaweza kupitia ila aliweza kuzishinda kwa kishindo.

Kwa changamoto alizopitia Mwisho, angekua star mwingine nahisi angeingia kwenye madawa moja kwa moja.

Anakwambia pamoja na u staa wote aliokua nao, aliweza kupanga chumba kimoja(ghetto) mitaa ya sinza na pisi kali zilikua zinatoa mpaka ofa ya kutaka kumpangia nyumba nzima ila anasema si kwamba alikua hana uwezo wa kupanga ila ni maamuzi tu.

Anasema kuna kipindi alipitia depression mbaya mpaka akawa hana hata uwezo wa kumiliki simu ya kitochi lakini alishinda.

Aliacha sigara na pombe kwa siku moja tu baada ya kukaa na kuwaza watoto wake watamchukuliaje huko Namibia kama mama yao anawalisha sumu kwamba baba yenu ni mlevi mbwa halafu wakija wakakuta ni kweli ni mlevi? Anasema alipowaza kuhusu watoto aliamua bila kupepesa kuacha kila kitu na kuanza maisha upya.

Leo hii anapiga dili nyingi tu za halali na hela ya hapa na pale hakosi.

Nawashauri ndugu zangu sikilizeni interview yake hasa part 3 muone ni namna gani mwanaume anaweza kukabiliana na changamoto.

Hii interview ni ndefu lakini it worth it.


View: https://youtu.be/rje8jFCdV2w?si=1ED6LPSBjwa9U4XM
 
Halafu jf na yenyewe watu waongo waongo sana nimeskiliza interview hapa jamaa kasema ameacha pombe na sigara toka 2019 lakini kuna mwamba kasema hapa eti mwisho saiz anagongea konyagi kitaa kwamba ana zulula tu now๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Halafu jf na yenyewe watu waongo waongo sana nimeskiliza interview hapa jamaa kasema ameacha pombe na sigara toka 2019 lakini kuna mwamba kasema hapa eti mwisho saiz anagongea konyagi kitaa kwamba ana zulula tu now๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Hahahhaha

Huyu muongo anaonekana mlevi kabisa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ