Mwisho wa Diamond umekaribia, ilikuwa lazima aanguke

Action n reaction ar equal bt opposite...BTW kila familia na maisha yake ww baba ako unamjali au mama ako alikutambulisha
 

mwaaaaaaaaaa
 

kumbe wakati mwingine una akili
 

Hivi Mr nice yupo wapi vile?
 

dua la kuku ilo...
 
Adm hakika hujui ni machungu kiasi gain mama unatelekezwa na motto ukiwa huna mbele wala nyuma na isitoshe baba Wa mtoto anakua na uwezo Wa kulea familia!unatelekezwa mwanamke kwa tabia mbaya ya bwana haya mmeachana basi upate Huduma za motto lkn wapi!mama umehangaika peke yako kwa msaada Wa JICHO la mungu mtoto amekua na mafanikio unasema atapata laana!mhhhh heri yako ww uliyelelewa na wazazi wrote ubarikiwe sana!vaa nafasi ya mwanamke aliyeachwa na watoto kwa umalaya Wa mume!
 

Kutotoa chozi kwa Obama haihalalishi kuwa wote tusitoe machozi pindi tupatapo tatizo linalofanana.

Nyerere alisema jambo la kipumbavu likiongelewa kwa lugha ya kiingereza watu ulishangilia.
 
Acha ushabiki maandazi,Platinumz anamheshimu sana babake isipokua hampi pesa wala matunzo yoyote as hata yeye huyo baba mwenyewe hakumpa Diamond matunzo aliyostahili kupata toka kwa mzazi. Mimi hua najiuliza Diamond angekua jambazi,kibaka,mla unga na upuuzi km huo huyo babake angejiibua kweli ama tu ni kwa vile dogo ni Superstar?! Hebu atupishe kule tumechoka makelele yake baba zima kutwa kulilia matunzo toka kwa mtoto utafikiri lenyewe lilitoa hayo matunzo chefuuuuu
 
mwaaaaaaaaaa

Samehe 7*70 usipende kurudisha kisasi maisha yenyewe yapo wapi??mie ni mfano hai kwa mama yangu alipata shida sana kwa dingi yangu,pamoja na sisi watoto wake.Sasa mimi copyright na yy kidogo mateso yalipungua lakin the way mama alivyopata shida vileee tungekuwa tunaongea mengine lakin mimi ndo namsaidia sana mpk kuna kipindi huwa ananiambia mwanangu umekua!!!!

Kuomba msamaha ni ngumu lakini namuona ana appreciate nifanyacho kwake lakin pia ananiombea baraka.....sometimes ananiita anachukua kichwa changu ananipa baraka.
 
Mbaya zaidi hajui mamake alimkosea nn babake had akawaacha..
Wanawake sio watu jamani,ngoja aoe atajua tu
 

Wewe umeanza kumjua Diamond akiwa maarufu, media zikimtajataja, hujui hadi anafikia umri huo alionao sasa ni magumu mangapi kakutana nayo na huyo baba yake kachangia kiasi gani katika hayo magumu. Mambo ya familia ni vema ukamwachia mwenyewe. Hata hivyo hiyo laana mnayoisema kama ingekuwa kumpata basi ingeshampata zamani na si sasa. Alishasemwa sana hata kabla ya kufikia mafanikio aliyonayo sasa.
 
Kutotoa chozi kwa Obama haihalalishi kuwa wote tusitoe machozi pindi tupatapo tatizo linalofanana.

Nyerere alisema jambo la kipumbavu likiongelewa kwa lugha ya kiingereza watu ulishangilia.

Mambo vipi mchumba?
 

acha kutisha watu na ndoto zako ali kiba ni msanii wa fiesta na hamtomsikia tena sababu fiesta imeisha jana kwani alivuma before fiesta!?????? Diamond is all timer
 
Kutotoa chozi kwa Obama haihalalishi kuwa wote tusitoe machozi pindi tupatapo tatizo linalofanana.

Nyerere alisema jambo la kipumbavu likiongelewa kwa lugha ya kiingereza watu ulishangilia.
Hujanielewa kabisa,ni kwamba connection ya baba na mtoto inaanzia toka mtoto akiwa mdogo na makuzi yake akiwa karibu na baba yake,Mtoto akishakuwa mtu mzima kama baba yake hakumjali akiwa mdogo,asitegemee huyu mtu atakuwa na mapenzi kwa baba yake.hiyo ni kwa binadamu yoyote yule,nimetolea Obama kama mfano
 
Kubalini, muziki wa CD jukwaani umeisha pia. Hata T.I hamna kitu jana. Walimuhehimu bila kumzomea...
 
Hahaaaaaaa kubakwa tena???

jana kwenye Fiesta wakati kapanda jukwaani alikua anazomewa na mamluki huku watu wakitaja Ali Kiba...

Ali Kiba yeye alivyopanda alikua anashangiliwa mwanzo mwisho... ko kilichompata jana ni hizo Booooooo za wananchi

Heaven nimekumiss,nimefurahi sana kuwastukia mamluki nina Coctail ya Strawberry for u.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…