TAJIRI MSOMI
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 496
- 515
- Thread starter
-
- #21
H aha ha ha mkuu umenifurahisha sana, ila nami najiuliza tu, labda nchi za dunia ya pili natatu hazitafikiwa na hii jangaKama unaamini Kesho ndio mwisho basi hakuna shida, gawa mali zako zote kwa wale wanaoamini kesho sio mwisho, Ugawe leo tena kwa maandishi.
Mimi ninataka mitazamo ya waafrica kwanza kabla ya keshoWw na hao wazungu hamna akili, kwahiyo umeani kabisa na Bible inasemaje?
Nahisi kabla ya kesho kukucha chetu watakua wamesha weka tayari mkuu, kumbuka wakisha kuwekea ponda pesa yote maana kesho hutakuwepo tenaMbona serikali hawajatuwekea mishahara yetu, kila MTU afe na chake?
Kwa hiyo?Wadau,
Ukiangalia leo Youtube chanel na mitandao mingi ya kigeni hasa Marekani na Europeans countries wanaonesha kuwa dalili zote za mwisho dunia zimefika, kama vile kupatwa kwa jua au mwezi, vita vuguvugu za N.Korea vs America na UN ,Kimbunga kilichoambatana na mvua kali.
Wana Jamii vip huku kwetu au sis tupo dunia nyingine na hatutaguswa maana hii habari haijatrend sana hapa Africa.
Nibiru, or Planet X as it is also known, is heading towards Earth and will be visible in the skies from September 23, according to conspiracy theorists.
Christians and non-believers alike are convinced that the apocalyptic planet will destroy life on Earth, and the signs are in the Bible.
Another passage from the Bible is doing the rounds, which points to a “star” called Wormwood that falls from the sky.
Revelation 8:10-11 says: "The third angel blew his trumpet, and a great star fell from heaven, blazing like a torch, and it fell on a third of the rivers and on the springs of water. The name of the star is Wormwood.”
End of the world September 23: Nibiru is ‘mentioned in the Bible as Wormwood’
Nimeshaanza kule vyangu vyote nilivyowekeza mkuuWe umejiandaeje kisaikolojia
Asante kwa kutukumbusha,inabidi toba mapema kabla ya saa sita usikuSawa tumekuelewa,umeshatubu lakini na kujiandaa kwenda peponi au unasubiria mpaka uone dalili za mwanzo mwanzo ?
Mkuu miaka ya 2000 nilikua mkubwa sana aiseeKwa kuwa mzungu kaandika wewe huna cha kujiongeza!!! changanya na zako mkuu!!
unakumbuka miaka ya 2000 au ulikuwa bado unanyonya, ule uvumi wa mwisho wa dunia sitousahau ulisabisha bibi yangu akauza na kula mali zote akitegemea mwisho wa dunia ni kesho cha kushangaza mpaka leo yupo anadunda mtaani maisha yanaendelea!!!
ha haha ha jamaa yangu badala ya kuanza toba unaplan uzinzi shauri yako mkuuMkuu unaweza kuniombea kwa hao jamaa wasogeze mbele mpaka Jumapili maana Jumamosi ni ahadi ya mechi na katoto kabichiiiiii
Huyo atakuwa ni Dada yako sio bibi yakoKwa kuwa mzungu kaandika wewe huna cha kujiongeza!!! changanya na zako mkuu!!
unakumbuka miaka ya 2000 au ulikuwa bado unanyonya, ule uvumi wa mwisho wa dunia sitousahau ulisabisha bibi yangu akauza na kula mali zote akitegemea mwisho wa dunia ni kesho cha kushangaza mpaka leo yupo anadunda mtaani maisha yanaendelea!!!