Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Intelejensia haijaonyesha badoJeshi la polisi limejipanga kukabiliana na mwisho wa dunia......
Mbona serikali hawajatuwekea mishahara yetu, kila MTU afe na chake?
Achanganye na zakwake nini??, hahahaha.......Kwa kuwa mzungu kaandika wewe huna cha kujiongeza!!! changanya na zako mkuu!!
unakumbuka miaka ya 2000 au ulikuwa bado unanyonya, ule uvumi wa mwisho wa dunia sitousahau ulisabisha bibi yangu akauza na kula mali zote akitegemea mwisho wa dunia ni kesho cha kushangaza mpaka leo yupo anadunda mtaani maisha yanaendelea!!!
Ha ha ha ha!Yule Msukuma asivyo na akili utasikia Sanda zote zitashonewa halmashaur
[emoji28][emoji23][emoji28][emoji23]hahahaMbona serikali hawajatuwekea mishahara yetu, kila MTU afe na chake?
Mbona ni kama umejikatia tamaa binti?sawa
Na ni vizuri aanze na mimi ndio aendelee kwa wengine..Kama unaamini Kesho ndio mwisho basi hakuna shida, gawa mali zako zote kwa wale wanaoamini kesho sio mwisho, Ugawe leo tena kwa maandishi.